colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,895
Habari za humu wakuu. Natumai mko poa wa afya
Niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu
Nimewahi kusikia hizi habari kwamba wanawake huwaga baadhi wanawafunga waume zao yaani wakiwa kwa mchepuko mambo yawe ndivyo sivyo. Kiukwel mimi si mfuasi wa mambo ya kishirikina hata kidogo hivyo sikuweza kuamini hayo mambo ila sasa yamenikuta.
Mke wangu ni mwanamke wa kipemba, kabla sijamuoa nilikua nina mademu tofauti tafauti na kila week lazima nipige show ya kibaba na mmoja kati ya hao ila tangia nimeoa huyu mwanamke ni mwaka wa 4 sasa cha ajabu nimekua nina mahusiano na wanawake wa nje kama watatu hivi, tatizo wote nikikutana nao kwa ajili ya game ya ugenini aise! hisia haziji kabisa
Yaani ninapoteza total uwezo wa kusimamisha ila kwa wife nikirudi naweza kufanya hata mara 4 tena show ya kibabe sana. Mwanzo nilihisi ni hofu ila sasa nimeanza kushtuka
Naomba mawazo yenu wakuu, hivi haya mambo yapo au kuna tatizo lengine limeanza kunitokea? Naomba ushauri na uzoefu wenu wakuu katika hayo mambo please
Mnakaribishwa.
Niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu
Nimewahi kusikia hizi habari kwamba wanawake huwaga baadhi wanawafunga waume zao yaani wakiwa kwa mchepuko mambo yawe ndivyo sivyo. Kiukwel mimi si mfuasi wa mambo ya kishirikina hata kidogo hivyo sikuweza kuamini hayo mambo ila sasa yamenikuta.
Mke wangu ni mwanamke wa kipemba, kabla sijamuoa nilikua nina mademu tofauti tafauti na kila week lazima nipige show ya kibaba na mmoja kati ya hao ila tangia nimeoa huyu mwanamke ni mwaka wa 4 sasa cha ajabu nimekua nina mahusiano na wanawake wa nje kama watatu hivi, tatizo wote nikikutana nao kwa ajili ya game ya ugenini aise! hisia haziji kabisa
Yaani ninapoteza total uwezo wa kusimamisha ila kwa wife nikirudi naweza kufanya hata mara 4 tena show ya kibabe sana. Mwanzo nilihisi ni hofu ila sasa nimeanza kushtuka
Naomba mawazo yenu wakuu, hivi haya mambo yapo au kuna tatizo lengine limeanza kunitokea? Naomba ushauri na uzoefu wenu wakuu katika hayo mambo please
Mnakaribishwa.