Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Amin usiamini ule usemi ukisema wa nini watu wanasema ntampata lini. Willium Le Mutuz ameweza kufanya ze shughuli ya fundrising yaani it was whassuo. Watu kibao ghosh inatisha watu kibao.
Zomba wewe unaweza kuishi na binti wa mtu wewe ambae bado unatembea na housegal wenuKwanini kila mmoja wenu asichukuwe hao watoto na kuwalea nyumbani kwake kama wanae?
Kwanini muendelee kuwatumia uyatima wao kujipatia umaarufu?
Kwanini muendelee kuwaonesha kuwa wao ni wakusaidiwa tu?
Hili la kuchangishana kwa kwa ajili ya yatima au pale watu maarufu wanapojidai kupeleka viroba vya mchele wakijidai ni wema kumbe wanataka umaarufu kupitia yatima siafikiani nalo na nnalipinga kwa nguvu zangu zote.
Mkitaka kuwasaidia kiukweli muwachukuwe muwalee majumbani kwenu kila anaechangia hapo achukuwe mmoja badala ya kutafuta umaarufu.
Kwanini kila mmoja wenu asichukuwe hao watoto na kuwalea nyumbani kwake kama wanae?
Kwanini muendelee kuwatumia uyatima wao kujipatia umaarufu?
Kwanini muendelee kuwaonesha kuwa wao ni wakusaidiwa tu?
Hili la kuchangishana kwa kwa ajili ya yatima au pale watu maarufu wanapojidai kupeleka viroba vya mchele wakijidai ni wema kumbe wanataka umaarufu kupitia yatima siafikiani nalo na nnalipinga kwa nguvu zangu zote.
Mkitaka kuwasaidia kiukweli muwachukuwe muwalee majumbani kwenu kila anaechangia hapo achukuwe mmoja badala ya kutafuta umaarufu.
Ndio raha ya JF Kaunga siku nyingine hutokea kukubaliana na yule ambaye hukutegemea kukubaliana naye hata siku moja.
Waeleze kwenye vikao vyenu vya Chama na wala sio hapaKwanini kila mmoja wenu asichukuwe hao watoto na kuwalea nyumbani kwake kama wanae?
Kwanini muendelee kuwatumia uyatima wao kujipatia umaarufu?
Kwanini muendelee kuwaonesha kuwa wao ni wakusaidiwa tu?
Hili la kuchangishana kwa kwa ajili ya yatima au pale watu maarufu wanapojidai kupeleka viroba vya mchele wakijidai ni wema kumbe wanataka umaarufu kupitia yatima siafikiani nalo na nnalipinga kwa nguvu zangu zote.
Mkitaka kuwasaidia kiukweli muwachukuwe muwalee majumbani kwenu kila anaechangia hapo achukuwe mmoja badala ya kutafuta umaarufu.
Inapendeza na nimemkubali, sikutegemea angempa za uso Le Mutus, ambaye kwa kweli aliniboa alfajiri alivyosutana na mdada aliyekuwa mpenzi wake, anyway ni maisha yake lkn.
Mambo yako yakoje?
Amin usiamini ule usemi ukisema wa nini watu wanasema ntampata lini. Willium Le Mutuz ameweza kufanya ze shughuli ya fundrising yaani it was whassuo. Watu kibao ghosh inatisha watu kibao.
Zomba wewe unaweza kuishi na binti wa mtu wewe ambae bado unatembea na housegal wenu
wewe umeshachukua wangapi,unalea ??? au ndio ujanja wa keyboard humu kucriticize ambao wameamua kufanya kweli?
Mie niko poa kabisa namshukuru Muumba wetu...nawe unaendeleaje?
Wewe laana inakusmbua umeona eehNikiishi na binti wa mtu nikastiri kihalali si ndio heri zenyewe hizo, kuliko kwenda kuwaanika na kuwaombea michango kama vile sio binaadam. Tunawafundisha nini hawa yatima, kama tunawapenda kwanini kila mmoja wetu asichukuwe mmoja au wawili tukawalea?
Tunawakusanya kama mifugo kwenye mabweni ya yatima halafu tunakuja eti fund raising! this is so pathetic.
Halafu mtu anakuja kujisifu eti fund raising ya yatima imefana.