young MathematiciAn
Senior Member
- Oct 31, 2016
- 160
- 361
Kama nusu saa zilizopita nilikuwa kwenye basi la Goms-Masaki nikirudi zangu kitaa.
Tukiwa kwenye foleni maeneo ya Ngozi,pale kwenye makutano ya Keko, Karume na Ngozi, kiukweli palikuwepo na foleni cha kizushi.
Mimi nikiwa siti ya mbele kabisa karibu na dereva nikishuhudia tukio la mzembe akilizwa na mjanja A-z.
Mara kidogo bodaboda iliyokuwa na watu 2. Dereva na mwenzake nyuma walipita katikati ya lanes 2, sasa gari fulani hivi ukilitizama linavutia sana jamaa wa lile gari alikuwa peruzi simu yake akivutia foleni itembee tembee sijui masikini ya mungu alikuwa anachati whatsap, ana peruzi JF, Fb au Instagram.
Mara paap yule jamaa aliyepakizwa nyuma kwenye bodaboda akashuka na kwenda kuchukua simu ya yule jamaa kiulaini bila bughudha yeyote kama vile chatu akimla mbuzi.
Baada ya tukio jamaa akatembea hatua 3 na kupanda bodaboda hao wakatembea na kutokomea pasikojulikana.
Jamaa kustuka anafungua mlango na kushuka ikawa too late kwa kihindi tunasema marighaya, ikabidi ashike kichwa na kuwatizama tu kama vile mfiwa akisindikiza jeneza, jamaa kwa unyonge akaingia kwenye gari lake akisubiri foleni itembee arudi zake kwake.
Fundisho;
1.Kwanini uchati ilhali dirisha umeacha wazi tena huna wasiwasi wowote.
Tukiwa kwenye foleni maeneo ya Ngozi,pale kwenye makutano ya Keko, Karume na Ngozi, kiukweli palikuwepo na foleni cha kizushi.
Mimi nikiwa siti ya mbele kabisa karibu na dereva nikishuhudia tukio la mzembe akilizwa na mjanja A-z.
Mara kidogo bodaboda iliyokuwa na watu 2. Dereva na mwenzake nyuma walipita katikati ya lanes 2, sasa gari fulani hivi ukilitizama linavutia sana jamaa wa lile gari alikuwa peruzi simu yake akivutia foleni itembee tembee sijui masikini ya mungu alikuwa anachati whatsap, ana peruzi JF, Fb au Instagram.
Mara paap yule jamaa aliyepakizwa nyuma kwenye bodaboda akashuka na kwenda kuchukua simu ya yule jamaa kiulaini bila bughudha yeyote kama vile chatu akimla mbuzi.
Baada ya tukio jamaa akatembea hatua 3 na kupanda bodaboda hao wakatembea na kutokomea pasikojulikana.
Jamaa kustuka anafungua mlango na kushuka ikawa too late kwa kihindi tunasema marighaya, ikabidi ashike kichwa na kuwatizama tu kama vile mfiwa akisindikiza jeneza, jamaa kwa unyonge akaingia kwenye gari lake akisubiri foleni itembee arudi zake kwake.
Fundisho;
1.Kwanini uchati ilhali dirisha umeacha wazi tena huna wasiwasi wowote.