Fundi wa computer dar

ESPIRIT

JF-Expert Member
Jul 3, 2014
665
522
Nipo Dar es salaam KINONDONI, natafuta fundi mzur wa computer, haiwaki kabisa. Asante
 
Ndg wana jf naomba kusaidiwa
Nina laptop aina ya HP min probook 4331s wakati nainunua ilikuwa na hard disk (HD) 640 nikabadili window 7 na kuweka window 8 .sasa cha ajabu imepungua HD ni 121+474= 595 ( yaan total ya partition C na D ) naomba msaada ili niweze kuiongeza ukubwa wake n je hiyo nafasi ipo kwenye partition au sehemu gani?
 
Back
Top Bottom