wirewizard
Member
- Feb 14, 2014
- 75
- 56
Habari ndg zangu wana JF,
NAMSHUKURU MUNGU kwa kunipa wazo hili la kuleta ombi la kazi hapa jukwaani,,,mimi ni fundi wa umeme mwenye uzoefu mkubwa. Nimejiajiri mimi mwenyewe, kutokana na hali ilivyo kwa kwa sasa, kwa kifupi sina kazi! Au by the way kazi ni chache kulinganisha na kipindi cha nyuma, hivyo yoyote atakaye hitaji huduma yangu ani PM, kwa message, aache namba za simu nitampigia mara moja. Tafadhali naomba tuwe serious.
Nakaa DARESALAAM, BUNJU. Kazi nafanya popote TANZANIA. Kwani nina Team work yangu ya vijana wangu wasaidizi.
ASANTENI.
NAMSHUKURU MUNGU kwa kunipa wazo hili la kuleta ombi la kazi hapa jukwaani,,,mimi ni fundi wa umeme mwenye uzoefu mkubwa. Nimejiajiri mimi mwenyewe, kutokana na hali ilivyo kwa kwa sasa, kwa kifupi sina kazi! Au by the way kazi ni chache kulinganisha na kipindi cha nyuma, hivyo yoyote atakaye hitaji huduma yangu ani PM, kwa message, aache namba za simu nitampigia mara moja. Tafadhali naomba tuwe serious.
Nakaa DARESALAAM, BUNJU. Kazi nafanya popote TANZANIA. Kwani nina Team work yangu ya vijana wangu wasaidizi.
ASANTENI.