Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Sijaona namba kakaHbr za leo kaka,
Nipe mda kidogo nichunguze kisha nikupe taarifa kamilifu.
Sijaona namba kakaHbr za leo kaka,
Nipe mda kidogo nichunguze kisha nikupe taarifa kamilifu.
Ungetoa Contacts zako humu, kuzikimbizia Inbox inafanya watu wasikuamini.Habari za kazi wanaJF
Ningependa kutangaza upatikanaji wa huduma za kiufundi kwa wenye trekta na vyombo vinginezo vya ukulima kama vile combine harvester, generator, pump na kadhalika.
Tatizo liwe ni engine, mfumo wa hydraulic, transmission/gearbox au hata service za kawaida, huduma ni ya hali ya juu na kutumia vipuri halisi na bora.
Mawasiliano: twaeza tumia inbox ya hapa JF ili kuwezesha ufatiliaji kwa urahisi - reputation building.
Asanteni.
Unaamini mtu ukiona namba zake au kazi yake? Wewe je, unaaminika je kama namba wapatia watu wakitafuta soko la trekta zao. Hapo juu kichwa chasema nini? Dalali au Fundi?Ungetoa Contacts zako humu, kuzikimbizia Inbox inafanya watu wasikuamini.
Sasa kazi zako tutaziona kupitia nini kama sio Namba na mawasiliano??Unaamini mtu ukiona namba zake au kazi yake? Wewe je, unaaminika je kama namba wapatia watu wakitafuta soko la trekta zao. Hapo juu kichwa chasema nini? Dalali au Fundi?
Nipo masaa yote kaka, kwa mawaidha, maoni na kadhalika. Ila kazi ni mambo tofauti, itafanyika je kupitia mtandao?Sasa kazi zako tutaziona kupitia nini kama sio Namba na mawasiliano??
Mtu akitaka kuwasiliana na wewe atakupata humu JF masaa yote 24??
Wewe unashinda huku masaa yote??
Hbr za kazi kaka,Mkuu nataka kununua used massey MF 375 naomba ushauri
Juu ya 1. Capacity yake wakati wa kulima
2. Fuel Consumption
3. Durability yake
Naomba ushauri wako u compare na Mashine za sasa kama newholland