OME123 JF-Expert Member Oct 4, 2010 1,498 605 Oct 22, 2019 #1 Nahitaji fundi aliyebobea kwenye hiyo kazi hapo juu, ambaye yupo Mwanza. Nina kazi hiyo anitafute tuongee.
Nahitaji fundi aliyebobea kwenye hiyo kazi hapo juu, ambaye yupo Mwanza. Nina kazi hiyo anitafute tuongee.
Njemba Soro. JF-Expert Member Oct 5, 2013 3,246 5,756 Oct 22, 2019 #2 David Molinga wa yanga aka vyuramid yupo hapo mwanza sasa unateswkaje aisee..... nenda hapo kirumba mchukue mkapatane kazi.
David Molinga wa yanga aka vyuramid yupo hapo mwanza sasa unateswkaje aisee..... nenda hapo kirumba mchukue mkapatane kazi.