Fundi naomba unitengenezee simba kwa chelsea.

Manofu

JF-Expert Member
Nov 3, 2018
1,317
2,019
Wabongo bwana nasikia sasa hivi wale mafundi wanaotengeneza vitanda siku hizi wateja wao wamekuja na jina jipya kwamba kama unataka kitanda tano kwa sita ni swala la kumwambia fundi nitengenezee kitanda simba kwa Chelsea.
 
Mpira Dakika 90
IMG-20190211-WA0015.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom