1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,129
- 2,765
Habari za wakati huu.
Wakuu meza za vioo zina changamoto zake,zinapovunjika..
Mm wakati huu nikinunua itakuwa meza ya tatu.
Sasa kabla sijanunua nyngne nauliza kama naweza nikapata spear ya meza,namaanisha kioo tu.
Maana kioo kimevunjika chote imebaki frem pekee.
Msaada tafadhali.
Kuna mahali naweza nikapata kioo ili nikifitishe kwenye frem ya meza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu meza za vioo zina changamoto zake,zinapovunjika..
Mm wakati huu nikinunua itakuwa meza ya tatu.
Sasa kabla sijanunua nyngne nauliza kama naweza nikapata spear ya meza,namaanisha kioo tu.
Maana kioo kimevunjika chote imebaki frem pekee.
Msaada tafadhali.
Kuna mahali naweza nikapata kioo ili nikifitishe kwenye frem ya meza?
Sent using Jamii Forums mobile app