Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Au vumbi la Congo lilichukua hatamu?
Hizi zarauwanaume wa dar mna vituko sana,mwanaume una kioo kikubwa hivyo ili uwe unajitazama vizuri da!
Nilikuwa nacheza mpira (danadana) chumbani...
Kanunue kingine usitusumbue
Mtafute huyu mwamba ndio kazi zake hizo 0654886585Salaam,
Nilivunja kioo changu bahati mbaya kama kinavyoonekana pichani.
Naomba mwenye kujua mahali au fundi hapa DAR anayetengeneza vioo anijuze tafadhali.
Mawasiliano yake au mahali anapopatikana.
Wasalaam wapendwa,
Mentor.View attachment 1143351
Kwani hicho cha mwanzo ulikipata mbinguni ata imekua hujui utapata wape tena kma hicho!??Salaam,
Nilivunja kioo changu bahati mbaya kama kinavyoonekana pichani.
Naomba mwenye kujua mahali au fundi hapa DAR anayetengeneza vioo anijuze tafadhali.
Mawasiliano yake au mahali anapopatikana.
Wasalaam wapendwa,
Mentor.View attachment 1143351
Ilikuaje ukavunja?Salaam,
Nilivunja kioo changu bahati mbaya kama kinavyoonekana pichani.
Naomba mwenye kujua mahali au fundi hapa DAR anayetengeneza vioo anijuze tafadhali.
Mawasiliano yake au mahali anapopatikana.
Wasalaam wapendwa,
Mentor.View attachment 1143351