Fundi - Kioo cha Chumbani

Mentor

JF-Expert Member
Oct 14, 2008
20,328
23,879
Salaam,

Nilivunja kioo changu bahati mbaya kama kinavyoonekana pichani.

Naomba mwenye kujua mahali au fundi hapa DAR anayetengeneza vioo anijuze tafadhali.

Mawasiliano yake au mahali anapopatikana.


Wasalaam wapendwa,
Mentor.
1561956315617~2.jpeg
 
Mkuu kutengezeneza kioo ni mpaka kiwanda ila kama ni marekebisho unaweza kumpata, ila hapo si unatia gundi unaunganisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom