Nadhani mleta uzi una makosa mengi sana. Imagine; 14yrs boy ati unamuita fundi wa magari. 2. Ati alikuwa anafungua ringi??!!! Nimejaribu kusoma tena kumbe ndivyo ulivyosema. 3. Hiyo ringi ilikuwa inafunguliwa gari likiwa juu ya jeki.
Pls fafanua
Pls fafanua