Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Salaam wanna jamvi
Msaada Kama kuna mtu anafahamu mafundi waliobobea kwenye gari za Honda CRV, sio DT Dobie hawa wetu aw maanisha maana hao wengine mfuko hauruhusu, nimegundua kwa baadhi ya makundi inaonyesha wengine wanashindwa kudeal na engine za hizi gari zanye mimba kila siku zinachemsha
Msaada Kama kuna mtu anafahamu mafundi waliobobea kwenye gari za Honda CRV, sio DT Dobie hawa wetu aw maanisha maana hao wengine mfuko hauruhusu, nimegundua kwa baadhi ya makundi inaonyesha wengine wanashindwa kudeal na engine za hizi gari zanye mimba kila siku zinachemsha