FUN Game.Uzi wa kuunganisha majina tuone yapi yanaleta maana au kuchekesha.

mchemsho

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
3,212
867
Kwa mfano Mimi muanzisha Uzi mchangiaji wa kwanza atakayeni"quote" mchangiaji wa pili atatakiwa ku comment Kwa kuunganisha jina langu na la Yule mchangiaji wa Kwanza, and the game continues, let's go..
 
Back
Top Bottom