Lisa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 1,549
- 1,074
Tena na bhange hizi za somalia nnazovuta! Hukawii kurudi ukakuta nimemualika dinner tunacheeeka wenyewe! Kuna kaka alinisimulia mkewe aligundua rafiki wa mdogo wake ni nyumba ndogo yake. Alichomtenda mkewe, wikiendi moja wakamualika huyo shosti lunch. Wakakaa na stori, jamaa kuingia anamkuta small house kajaa tele. Akajua pona yake ni confession. Alipitiliza chumbani, mkewe kumfuata amkaribishe misosi jamaa akaanza na goti. Wakayamaliza chumbani, wakatoka wakala na mgeni. Jamaa anasema affair iliishia jana yake. Hivi mkeo akikukamata mara kadhaa, asipoku-cheat jiulize kama ni lesbian!
Hahahahahaahahaha!!!!!! umenifurahisha sana King'asti , maana mimi nilposikia kuwa ana small house mpk wamezaa, nilipanga mpango kabanbe wa kwenda kuchukua mtoto nikafanikiwa, aliporudi home akamkuta anacheza na wenzie, halafu sikumuuliza kitu, mbona alizungunga nyumba nzima, na ile miwani siku ile ilikuwa inavaliwa kama ya mtambuzi haikai machoni.mwisho ilibidi aniambie ukweli na kuomba msamaha, kiasi siku hizi hata nikisema naenda kariakoo kununua mahitaji ananiambia twende wote, hiyo ndiyo dawa yao, hakuna kumuuliza unapiga kimyaaaaaaaaaaa, halafu Action zinaendelea.
Hahahahahaahahaha!!!!!! umenifurahisha sana King'asti , maana mimi nilposikia kuwa ana small house mpk wamezaa, nilipanga mpango kabanbe wa kwenda kuchukua mtoto nikafanikiwa, aliporudi home akamkuta anacheza na wenzie, halafu sikumuuliza kitu, mbona alizungunga nyumba nzima, na ile miwani siku ile ilikuwa inavaliwa kama ya mtambuzi haikai machoni.mwisho ilibidi aniambie ukweli na kuomba msamaha, kiasi siku hizi hata nikisema naenda kariakoo kununua mahitaji ananiambia twende wote, hiyo ndiyo dawa yao, hakuna kumuuliza unapiga kimyaaaaaaaaaaa, halafu Action zinaendelea.