gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Hizi ndoa hizi balaa tupu..
Ndio maana MwanaFA alisema 'ukitaka wakwako pekee yako labda umuumbe mwenyewe'...lol!
Umenifikirisha mbali aiseee..
Ila kwa nini ulimshauri hivi gfsonwin ???
honestly maisha ya ndoa kama mtu hakuheshim na wewe nenda hivyo hivyo yaani hakunaga mbadala lol! ukaksi ukaksi tu kwan nni bana? niliumizwa sana na tabia ya mumewe na binti alifikia hatua ya kupaa uchizi miez 4 hakuna kugusana na mr wafikir nyege zake apeleke wapi? dildo ikawa haimnogei tena afanyeje/ mwach atafute liscrepa limkune maisha yasonge mbele atii.