Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Kasheshe kweli....................
Last edited by a moderator:
Weka na wewe zako pine acha Pumba zako hizo? Umekwenda la ngapi wewe?Hivi wewe peke yako ndiyo unapost hapa? Unajaza server na ujinga wako. Hembu toaaaaaaaa hapa
hiyo server ni ya mama yako au ya baba yako mbona unachuki kama mwana mama mwenye mimba changa...Acha kisebusebuHivi wewe peke yako ndiyo unapost hapa? Unajaza server na ujinga wako. Hembu toaaaaaaaa hapa
hebu mkuu nisaidie ananishambulia katumwa na Viongozi wake wakuu wa kazi asante mkuu kwa kumpa maneno yake huyu Mleta Pumba hajuwi hali hapa ni Thread ya Picha na Video..... mkuu ubarikiwehiyo server ni ya mama yako au ya baba yako mbona unachuki kama mwana mama mwenye mimba changa...Acha kisebusebu
Kama hujaipenda kwanini unaiangalia hiyo Video? Acha kumshambulia mwanachama mwenzetuHivi wewe peke yako ndiyo unapost hapa? Unajaza server na ujinga wako. Hembu toaaaaaaaa hapa
Mkuu hapa kwenye hii Thread ni mahali pa Picha na Video na Matukio mbali mbali ya ndani ya Nchi na nje ya Nchi wewe kama unayo Video au picha yoyote inayoshangaza watu iweke hapa tuione. Hapa sipo mahali pa Mashindano au Majadiliano ya Dini au Siasa tafadhali heshimu Wanachama wenzako sio tu kulaumu laumu ovyo pasipo na mpango wowote ule. Kabla hujajibu kwanza fikiria ndio ujibu sio kujibu ovyo ovyo tu asante.weka vitu vya kueleweka basi!mashine zina load mpaka zinapata moto ngoma kimya!watu wanavyolalamika mi naona ni sawa tu
<br />Hivi wewe peke yako ndiyo unapost hapa? Unajaza server na ujinga wako. Hembu toaaaaaaaa hapa
hiyo server ni ya mama yako au ya baba yako mbona unachuki kama mwana mama mwenye mimba changa...Acha kisebusebu
wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!! heshima kwa wanawake we mwenyewe
yawezekana mimba ululeta matata mwanzo mwisho mama
alikumezea tuu kukwambia