TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,585
- 20,730
Wakati serikali ikiruhusu ndege kuingia kwenye anga la Tanzania na kutua na kuleta watalii nchini, shirika la ndege la Ethiopia limetoa taarifa kuwa wataanza hivi karibuni kutua hapa nchini.
TUENDELEE:
Watalii wanakuja hivi karibuni na ndege zimejaa mpaka mwezi wa nane, hii ni kitokana na taarifa ya waziri wa sekta ya usafirishaji.
Kutokana na hilo serikali imesema wananchi wanaweza kufanya biashara.
Biashara hizo ni pamoja na kuangalia fulsa ya kupiga nyungu, hii inaweza ikawa fulsa kwetu kuandaa maeneo yenye kuvutia tukawakaribisha watalii kuja kujifukiza a.k.a kupiga nyungu.
Wadau nawasilisha, tusilale fulsa hiyo.
Wazee wa chuga kule Manyara/karatu, mto wa mbu, ngorongoro, Arusha mjini, Kilimanjaro nk
TUENDELEE:
Watalii wanakuja hivi karibuni na ndege zimejaa mpaka mwezi wa nane, hii ni kitokana na taarifa ya waziri wa sekta ya usafirishaji.
Kutokana na hilo serikali imesema wananchi wanaweza kufanya biashara.
Biashara hizo ni pamoja na kuangalia fulsa ya kupiga nyungu, hii inaweza ikawa fulsa kwetu kuandaa maeneo yenye kuvutia tukawakaribisha watalii kuja kujifukiza a.k.a kupiga nyungu.
Wadau nawasilisha, tusilale fulsa hiyo.
Wazee wa chuga kule Manyara/karatu, mto wa mbu, ngorongoro, Arusha mjini, Kilimanjaro nk