Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,766
- 18,620
Acha uongo, kwenye mpira Hilo linawezekana mbona!Mkuu wale ni majirani hivyo wanijuana
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo, kwenye mpira Hilo linawezekana mbona!Mkuu wale ni majirani hivyo wanijuana
Hata wakati mechi za round ya kwanza kabisa zinaanza,mlikuwa mnasema hv hv,usije badilisha kauli jamaa wakifika mbali zaidiHizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.
leo washakuwa makapi...?Hizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.
Golikipa kazuia shuti moja tu kati ya nafasi tatu za wazi alizozipata.Mnamlaumu kashindwa kufunga kwani kazi ya yule Goalkeeper ni nini?...ingekuwa Manula kacheza hivyo si mngempongeza?.
Hahaaa kimekuuma jweli kweli wewe utapasika redionHizo hadithi mwisho wenu leo
Kwa sasa timu ipo kwenye form, badi hatuhitaji kuongeza wachezaji, wapo vijana wengi wana uwezo na bado wapo benchKama Kamati ya Usajiri inasoma hii mada.
Naomba yule mchezaji wa AS Vita yaani Djuma Shaaban, asajiriwe ktk timu yetu pendwa ya Simba Sports Club.
Kocha wa Simba sc, ampange bamba 9 (tisa)
Nilivyo msoma ana uwezo mkubwa wa Kushambulia kuliko kuzuia kama beki.
Simba SC bado tunakosa mshambuliaji mwenye hadhi ya kiwango cha Simba sc cha sasa.
Kwako CO wa Simba, Ms, Bvravra, mpelekee hili faili langu. Mwenyekiti MO Dewji.
Sawa Mkuu.Kwa sasa timu ipo kwenye form, badi hatuhitaji kuongeza wachezaji, wapo vijana wengi wana uwezo na bado wapo bench
Hata mm nakuunga mkono.Tumvumilie, kocha Ana maana yake!! Atakapoanza kufunga dunia itamkoma!! Kocha analea kipaji na ana uhakika malezi haya yatalipa baadaye!! Huo ni ukomavu wa kocha, Kuna vitu adimu ameviona kwa Mugalu!
Ila inasemekana jamaa anafunga goli 15 kwenye mazoezi kwenye mechi anakosa goli 10 za.wazi cjui tatizo nini anataka kuwakosesha wenzake pesa na cc furaha hivi.hiviHata mm nakuunga mkono.
Kagere mfumo wa kocha bado hajau copy kabisa
Anapata shida sana.
Game ilimkataa jamaaIla inasemekana jamaa anafunga goli 15 kwenye mazoezi kwenye mechi anakosa goli 10 za.wazi cjui tatizo nini anataka kuwakosesha wenzake pesa na cc furaha hivi.hivi
Hii Simba imeimarika sana.Ila inasemekana jamaa anafunga goli 15 kwenye mazoezi kwenye mechi anakosa goli 10 za.wazi cjui tatizo nini anataka kuwakosesha wenzake pesa na cc furaha hivi.hivi
Hivi hiyo hadi sasa ana goli ngapi?Kama Kamati ya Usajiri inasoma hii mada.
Naomba yule mchezaji wa AS Vita yaani Djuma Shaaban, asajiriwe ktk timu yetu pendwa ya Simba Sports Club.
Kocha wa Simba sc, ampange bamba 9 (tisa)
Nilivyo msoma ana uwezo mkubwa wa Kushambulia kuliko kuzuia kama beki.
Simba SC bado tunakosa mshambuliaji mwenye hadhi ya kiwango cha Simba sc cha sasa.
Kwako CO wa Simba, Ms, Bvravra, mpelekee hili faili langu. Mwenyekiti MO Dewji.
Tunaita utopolo is kuchomekwa mwiko nyumaHiyo aliyocheza chama hapo Kitaalamu tunaitaje?
Nimeanza huu utaratibu muda mrefu sana. Lazima tumuunge mkono muwekezaji wetu azidi kupata nguvu za kutuimarishia kikosi chetu.Jamani eeh kwa raha alizotuletea MO hima wanasimba wote tusapoti bidhaa zake. Mimi kila kitu nachukua vya MO.