Hakuna chochote.... mmetiwa muhogo wa JANG'OMBEHakika tumepambana kiume, asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Hivi kwa huu mpira wa sasa wa Simba nyinyi mtauweza?Nyie mapaka tu...View attachment 1794483
Huna akili wewe. Mpira unatokana na mechi husika na juu ya timu pinzani inachezaje.... Mashabiki wa Simba ni wapumbavu na wasio na AKILI KICHWANI. Mpira unaochezwa uwanjani huwa unategemea zaidi unacheza na nani, kiwanja gani, muda gani, physical fitness ya timu yako ikoje nk. Ingekuwa hivyo SIMBA ASINGEFUNGWA NA PRISON BOYA WEWE.Hivi kwa huu mpira wa sasa wa Simba nyinyi mtauweza?
HovyooooohHakuna chochote.... mmetiwa muhogo wa JANG'OMBEView attachment 1794489
Afungwe mara ngapi?halafu wangefungwa wewe Topolo ungepata nini
Hovyoooooh
Umejitahidi sana mtani ila kojo unalo mwilini unahangaika nalo.Walipokupiga kisiki na kukumwagia kule kwao mpaka mwakani ndio utakuwa ushazaa!Haya niambie hicho kitu, au nikugeuze nikupige tu mpingo
😃😃😃😃 Sawa japo huwa siyaamini hayoMkuu Simba ugenini hawezi kuloga,hiyo ni siri nakufichulia usimwambie mtu. Kwa kifupi uchawi hauvuki bahari,kama unaona nakudanganya muulize Mshana Jr