ndo maana yake hata hao wanaohusika asilimia kubwa wamesoma katika seminar zao!Miaskofu nayo mijizi? Au zilikua za kuimarisha makanisa
ndo maana yake hata hao wanaohusika asilimia kubwa wamesoma katika seminar zao!Miaskofu nayo mijizi? Au zilikua za kuimarisha makanisa
Kwa nini report ya PAC haijataja wamiliki wa makampuni mbalimbali yaliyohusika na wizi huu? Mimi nilitaka kusikia wamiliki wa PAP
Tumepoteza kodi kubwa kwa upumbavu wa viongozi wenye upeo wa sampuli yako.
Zitto ni mwizi,tapeli,msaliti na majina yote mabaya unaweza kumwita.CHADEMA kaeni chini na Zitto mzungumze yaishe!!Makosa yake yanazungumzika mbona?
Kuivua nguo serikali kiasi hiki na kulinda ripoti yao isiibiwe usiku kucha sio jambo rahisi!!Zitto ni MWANAMAPINDUZI
Hivi weeeewe nini hujaelewa hapa? Muhongo ndio alikuwa kuwadi
We kilaza umeniquote hapo juu nikimcheka bibi mwenzako Faizafoxy alivokuwa anakejeli watu Wanataka Umeme wa bure, huajnielewa kilaza ukadhani nasapoti wizi wenu, Boya ww
Furaha yangu haijatimilika mpaka Mtoto Wa mkulima na wenzake wawajibishwe na kupelekwa mahakamani.Teh teh teh wapi Msalani.
Huyu ni rais wa nchi.
Bila shaka ulipokuwa shule ulikuwa unapigwa sana kwa uelewa wako mdogo na bado ulimaliza miaka yako ya kuwa shule bado ukiwa na uelewa mdogo. Unastahili uendelee kuchapwa viboko sana ili ubongo wako uamke.
Aliyebeba lumbesa la manoti nani?
Gemu mbichi sana kesho watoto wa kiume ndiyo wanashuka uwanjani leo walikuwa wanazungumza wavulana kesho ndiyo wanaongea wanaume sasa.
We umeelewa vizuri au unafuata ngoma usiyoijua?
ngoja nikusaidie, Ni hivi dada, Muhongo kaingia Wizara ya Nishati na Madini kakuta kuna mivutano isiyoisha kati ya Tanesco na IPTL, na IPTL na VIP, kabla ya mzigo wa ESCROW kutoka watu walikuwa wanapiga hela kila siku Hapo Tanesco mara body, mara vikao, mara kesi, Na wakili Mkono ndio alikuwa anapigia Pesa hapo, Muhingo kama waziri akaamua asafishe uchafu Tanesco ikiwa ni pamoja na kuzimaliza kesi zote
Na hili kuzimaliza kesi zote ilibidi IPTL na VIP wakutane, na Muhongo ndio alifacilitate hao wakutane na wamalize tofauti zao ili Tanesco iwe free
sasa hapo tatizo la Muhingo liko wapi? Katika list uliyonayo Muhongo kapiga ngapi?