Full Text: Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Agosti 2012

Jamani, kulikuwa na hotuba ya kikwete nimeona kwenye itv leo jioni, sijui ilikuwa imerecodiwa lini, ila alichosema pamoja na mambo mengine, kabla ya kumaliza ni kwamba, SISI WATZ HATUNA UBAVU KUINGIA VITANI SASAIVI KAMA ZILIVYO NCHI ZINGINE...hii ni kauli toka kwa rais wa nchi kubwa kama tz....hakuna rais ambaye nilishawahi kumsikia tangu nizaliwa, akisema kuwa nchi yake haina nguvu kijeshi au jeshi la nchi yake halina nguvu....au halina uwezo kuingia vitani...hata rais banda mwanamke wa malawi hajawai sema hivyo....wenzangu mlimsikia? yawezekana ni kweli tunaye rais dhaifu aisee...pamoja na kwamba alikuwa na nia nzuri na aliongea hotuba nzuri, lakini hakuridhika pale mwishoni akajikuta ameonyesha jinsi alivyo, dhaifu...akakiri kwamba tz hatuna ubavu kuingia vitani na malawi kama zilivyo nchi zingine.
 
kwa wale waliosikia,....mnalichukuliaje hili likauli jamani.angekuwa lowasa angetoa kauli kama hiyo?au Dr. slaa au mbowe,...hata lipumba tu...angetoa kauli kama hiyo? ameongea vizuriii mwanzoni akaja kuharibu mwishoni.
 
kamma serikali haina hata pesa ya kulipa watumishi wake mishahara, hizo pesa za kupigana vita wataipata wapi?
 
Leo niseme tu kwamba tuna rais ambaye siyo tu dhaifu bali ni goigoi.RAIS UNAITANGAZIA DUNIA KWAMBA WEWE HAUWEZI KUPIGANA kwa hiyo hata tukichokozwa tukae kimya tu!.Mi nawakumbusha wakenya kwamba muda wa kuchukua sehemu ya mlima kilimanjaro ni sasa hivi,mnasubiri nini? Njooni tz haiwezi kukabiriana na uchokozi wa aina yoyote.Akina shimbo nitkuficha mijihela tu africa kusini
 
kwa wale waliosikia,....mnalichukuliaje hili likauli jamani.angekuwa lowasa angetoa kauli kama hiyo?au Dr. slaa au mbowe,...hata lipumba tu...angetoa kauli kama hiyo? ameongea vizuriii mwanzoni akaja kuharibu mwishoni.

Bravo JK kila Siku nasema Hata Mimi mwenyewe tz haina ubavu wa kuipiga Malawi jamani BOT kuna cons na noti za jero jero ataanzia wapi maana itakuwa Ni aibu ya Mwaka kupigwa na demu bora Kasema ukweli, lowasa na sitta wameropoka tuu Kama mnamkumbuka ally chemical wa Iraq alisema wa marekani wakiingia Iraq hawatoki na kwa kebei akachora mpaka Yani mstari Kama mnakumbuka ile michezo ya utotoni mkipigana mnachora mstari wa kwanza kuvuka ndio mbabe ujinga mtupu dhaifu ila Kasema ukweli japo hakustahili kumuonesha adui Yake weekness yake
 
Mi hata simuraumu,maana najua nchi haina rais,nchi inaubavu kwa wananchi wake wanapodai haki,
 
kamma serikali haina hata pesa ya kulipa watumishi wake mishahara, hizo pesa za kupigana vita wataipata wapi?


Hazina kuna coins na noti za jero jero ndio maana Kasema ukweli, lowasa anashanikia ili awe weapons supply nchi haina chapaa imebakia Mali ya umma kwa ajili ya watumishi wa umma tuu.
 
Leo niseme tu kwamba tuna rais ambaye siyo tu dhaifu bali ni goigoi.RAIS UNAITANGAZIA DUNIA KWAMBA WEWE HAUWEZI KUPIGANA kwa hiyo hata tukichokozwa tukae kimya tu!.Mi nawakumbusha wakenya kwamba muda wa kuchukua sehemu ya mlima kilimanjaro ni sasa hivi,mnasubiri nini? Njooni tz haiwezi kukabiriana na uchokozi wa aina yoyote.Akina shimbo nitkuficha mijihela tu africa kusini


Kutangaza public weekness yake APo kachemka ila alichosema ni kweli hatuna ubavu hazina haina kitu na vita ni chapaa
 
Mmmh! Siamini kama kasema hivyo. Kweli katamkia ulimwengu hivyo!? May be ni strategy mpaya yakijesh kumuonyesha adui yako kuwa humwez ili akiweka mkono unakata naamua kuamin hivyo vinginevyo ni aibu!
 
Back
Top Bottom