Kwa mwendo huu, bunge la bajeti lijalo 2012/13 litakuwa tofauti sana. Na hakika ccm/serikali hawakutegemea kibano cha kambi ya upinzani (CHADEMA) kingekuwa kikubwa hivi. Hata yale makelele ya kuwaponda naona nguvu zimeisha maana CHADEMA wameamua kukomaa kwa kuwamwagia data. Na mungu alivyo mkubwa wauza mafuta nao wameiacha serikali na ccm uchi mchana kweupe.
Wamashukuru sana Waziri Mkuu Pinda amejitahidi sana kuwalainisha wabunge wa ccm ili waipe TAFU bajeti za wizara. Lakini mwakani sidhani kama watakubali maana wananchi wameshaamka.
Wamashukuru sana Waziri Mkuu Pinda amejitahidi sana kuwalainisha wabunge wa ccm ili waipe TAFU bajeti za wizara. Lakini mwakani sidhani kama watakubali maana wananchi wameshaamka.