Frank Sojo
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 343
- 95
Kwa hotuba hii pamoja na report za tume kamanda Kamuhanda alitakiwa awe ameshavuliwa mkanda hata kabla ya hotuba kuisha,Lakini naamini hata baada ya miaka mingapi kupita kamuhanda lazima aonje kamba(i.e anyongwe mpaka kufa)