Full Text: Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bajeti 2013/2014 iliyosomwa na Freeman Mbowe

nani tena huyu kaanza matusi ukikosa hoja kalale utupishe siyo kuanza kutukana hatuko ktk mpira wa mchangani hapa ebo,

halafu kaka usishangae sana maana humu JF kuna wengine wapo kimaslahi zaidi. kila comment na post anayoweka ni kwa maslahi ya kifedha na ndiyo maana wanakimbilia matusi ili kuongeza idadi ya comment maana matusi ni kitu rahisi kutamka kwa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri
 
Wabunge wa ccm utashangaa wakati wa kuchangia wataacha hotuba ya w.mkuu na kurukia ya Mbowe kwa matusi na kejeli badala ya kujibu hoja.

waziri mkuu anatoka ccm so alichowasilisha waziri mkuu ni msimamo wa serikali ya ccm. nitawaunga mkono watakapotumia muda mwingi kuwaeleza watanzania unafiki wa ,MBOWE na chama chake CHADEMA
 
chama kipi hicho? chenye magaidi?

Ni chama kile kinachowafuga magaidi licha ya kuwa na mamlaka yote ya kuwadhibiti kwa kutumia sheria na vyombo vya usalama. Ni kile kipewacho video za kichochezi na kuziweka mitandaoni badala ya kufuatilia nani wafadhili wa hizo plan na kishindwacho kupeleleza matukio mabaya kama ya utesaji kwa zaidi ya miaka sasa ( Ulimboka, Kibanda).
 
Kuna tatizo kubwa.

Vyama vya Siasa kwa ujumla wake vinatumia Ujinga wa Tanzania kusema mambo ambayo ni ya Hovyo hovyo. Nitandika kuhusu Mabaraza ya Katiba na utendaji wake wa kazi kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba sura ya 83 ya 2012 kisha mlinganisha ni hicho alichokisema Mhe. Mbowe.

HOFU YANGU KUBWA NI UMBUMBU WA VIONGOZI au wanafanya MAKUSUDI kujifanya hakuna hicho wanachokisema.

Nitaandika kwa upana wake na tujadili bila kuleta masuala ya Itikadi.

Nasema Viongozi karibu wote wa Tanzania hawana muda wa kusoma huwa wanakurupuka.

Nitaandika kwa undani. Nafuatilia Hotuba yake
 
Tangu lini shetani akafanya kazi ya malaika. Labda utusaidie ni lini CCM waliweza kufanya kazi iliyowashinda miaka zaidi ya 20 iliyopita, kutoa elimu ya uraia (naongeza na ile ya mpiga kura), lini walifanya hiyo kazi na wapi?

Naona uongo inaanza kuwa jadi yenu sasa. Kusema kweli ni mwiko.

umeshapoteza dira na mwelekeo, ndio mana watu wanakupuuza siku hizi
 
Sasa tusubirie jioni kuwasikia wachangiaji wataongea nini. Nimesikia jina la mwigulu kuwa mmoja wa wachangiaji na bilashaka ataongea pumba juu ya kipengele kilichoongelea ugaidi kwenye hotuba ya Mbowe

yawezekana mwiguru mwiba kwako usihofu mi nadhani hamna haja ya kuhofu mijadala wabunge watachangia vizuri tu make wameeda kutuwakilisha.
 
waziri mkuu anatoka ccm so alichowasilisha waziri mkuu ni msimamo wa serikali ya ccm. nitawaunga mkono watakapotumia muda mwingi kuwaeleza watanzania unafiki wa ,MBOWE na chama chake CHADEMA

kumbe na wewe unayajua haya,kujua tu kutakufanya uwe na maamuz sahihi katika jamii.
 
anasifia uwiano wa uwakilishi katika masuala ya muungano kati ya znz na tanzania bara

Mkuu yani umejiunga juzi tuu nawe unataka uwe senior expert member? sababu naona kasi yako ya kuchangia inatisha aiseee, na hauchagui nini cha kuchangia ili mradi tuu nasi tujue upo. Behave mkuu acha ushabiki usio na msingi wowote.
 
Kuna tatizo kubwa.

Vyama vya Siasa kwa ujumla wake vinatumia Ujinga wa Tanzania kusema mambo ambayo ni ya Hovyo hovyo. Nitandika kuhusu Mabaraza ya Katiba na utendaji wake wa kazi kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba sura ya 83 ya 2012 kisha mlinganisha ni hicho alichokisema Mhe. Mbowe.

HOFU YANGU KUBWA NI UMBUMBU WA VIONGOZI au wanafanya MAKUSUDI kujifanya hakuna hicho wanachokisema.

Nitaandika kwa upana wake na tujadili bila kuleta masuala ya Itikadi.

Nasema Viongozi karibu wote wa Tanzania hawana muda wa kusoma huwa wanakurupuka.

Nitaandika kwa undani. Nafuatilia Hotuba yake


Mkuu shusha NONDO
 
Kama hoja za Mh. Mbowe ambazo huwa ni nyepesi sana zinaweza kulitikisa bunge, basi hili bunge linatakiwa kutokuwepo kabisa.

He's just there kama kiongozi wa upinzani bungeni by default
kwa taalifa yako hakuna ndani ya ccm mwenye uwezo mkubwa kama wa mbowe kwenye kuanalise mambo!
 
Ahsante mkuu wangu Molemo kwa thread hii.

Nimependa sana hii hotuba ya kambi ya upinzani kwani imewaacha hoi MaCCM na hakika ukombozi umekaribia.
 
Last edited by a moderator:
Yaani Kwa kweli nchi hii tuna kazi sana

Hii Hotuba imetusaidia kujua kwamba Tume ya Katiba imejitwalia madaraka na kuendesha mambo yake kinyume cha ahadi yake ya mwanzao kwamba kila hatua watakuwa wakitutaarifu kwa kina wamefikia wapi na mchakato wa katiba , kinyume chake wamekuwa wakiripoti kwa Raisi na Raisi kuja kumwaga mbwembwe kwenye hotuba zake za mwezi hii inaonyesha jisnis alivyo na mkono wake kwenye mchakato mzima wa katiba

kitu kingine ni kwamba Tume imeanza kucheza na mchakato mzima kwa kuruhusu muundo wa kata na wilaya ya katiba kuvurugwa na kuendeshwa kiitikadi, hili ni goli tunajifunga mapema

Wakuu wa wailaya kuingilia mchakato wa uundwaji wa katiba kama vile alivyo fanya Mkuu wa wilaya Jason Msome kuaagiza watendaji wa kata na manisipaa kutokuruhusu wananchi wa vyama vingine kushiriki katika mabaraza ya kata na wilaya

Mabaraza ya katiba ya kata na wilaya kuwa na wajumbe wengi wa itikadi moja kwa sababu wao ndio wameruhusiwa kuchaguwa hawa watu wa Ward development Committee

Katiba mpya kuwa mpya kwa jina kwa sababu waandaaji kuwa walewale , wa chama kile kile na kushindwa kupata mawazo ya wengi kwa sababu mpaka sasa hivi maoni yamekusanywa kutoka kwa wananchi sawa na asilimia 0.7 tu ya wananchi wote

Serikali kukataa kufanya marekebisho ya sheria kinzani katika kuunda katiba
Wajumbe kuwa wengi kutoka Zanzibar wasio na uhalali kuwemo kwa sababu ya mambo mengine kutokuwa ya muungano

Mamlaka makubwa ya Raisi kinyume cha katiba cha kuingilia mchakato wa katiba na kuweza kuingilia mchakato wa Kura ya maoni kinyume cha sheria za nchi

Serikali ya CCM kuwa na ukosefu na utashi wa kisiasa ili kuweza kusimamia mchakato wa kuunda katiba nmpya bila makandokando ya kutaka kuingiza mambo itakayopendelea CCM na serikali yake

Chadema kujitoa iwapo uteuzi wa kimazengwe wa mabaraza ya kata na wilaya kama hautafutwa

kama muswada wa sheria wa kubadirisha baadhi ya vipengele vya sheria vinavyosigana kikatiba katika mchakato wa uundaji wa katiba hautaletwa bungeni na serikali kama serikali ilivyoahidi mwanzo

Kutopunguzwa idadi ya wajumbe kutoka Zanzibar kwenye maeneo yasiyo ya muungano

Kutopunguzwa mamlaka ya Raisi kikatiba atakayo yatumia katika kuunda Bunge la Kura ya maoni
 
Inaendelea hapa....

===========

ni yaleyale tu,hotuba haina mashiko,ni upuuzi mtupu.Tumuazime Kagame awe prezzo wa tz sisi hatuwezi,ubinafsi umejaa kila anayepata madaraka lazima ajilimbikizie mali,si watawala wala wapinzani ni yaleyale tu
 
Back
Top Bottom