Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Ladies and gentlemen he is back!!!!!!!
Apo ndipo ninapomkubali lowasa yupo strong kutetea anachokiamini na si kigeugeu au mpma upepo kama wenzake...ma presdent 2015 is LOWASA Kwa kweli silaha nakukubali sana lakini ili jembe lowasa tulipe nafasi kwanza
Hakujiuzuru alifurushwa na Mwakyembe.
Nyie midimu a.ka. vijana wa mzee wa kung'oa kucha mna stres lowasa aingii ikulu kutapanya kilichopo kama bosi wenu hana njaa na aingii ikulu ili akaamishie watoto wake ikulu...eti msaidi wa nyerere alileta hotuba huyo si kipaza sauti cha kna sita wanampa buku 7 kutokana na kuganga njaa kama wale vijana wa nape eti Nyerere kwani nyerere alkuwa Mungu nchi hii kiongoz imara alkuwa sokoine na waltofautiana sana na nyerere cz nyerere alkuwa hashaurki na aliona sokoine anamzd uwezo sokoine alshajiuzulu zaid ya mara 2 nyerere akamuomba arudi so nyerere si Mungu ni bnadamu na kzazi kpya tunataka maendeleo na watu strong kama lowasa si wanaolialia kama kna membe na sita, pia nyerere altofautiana na karume pia na mzee mtei muasisi wa chadema, nyerere alkuwa hashaurki na alkuwa aksema lowasa ni kijana mkorofi...lowasa ni jembe na ni mtu anayeweza kuwavusha watanzania kwenda kwenye neema kwa sababu ni jasri na anasimamia anachokiamn pia anataman maendeleo kwa kila mtu