Fulana ya Rose Mboma imenikera - kampeni kabla ya 2020!

Mbona kuna watu mpaka sasa wanavaa zilizoandikwa CHAGUA MAGUFULI? Halafu wewe kwanini ukereke wakati hayo ni maoni na uchaguzi wake binafsi? Yeye kaandika NITAMCHAGUA MEMBE kwa maana ya yeye hajasema CHAGUA MEMBE.

Hao ni waliovaa fulana za mwaka 2015 (watunzaji) - kwani wapi wamevaa fulana za kuchagua Magufuli Mwaka 2020?
 
Jinyonge mkuu,mbona ccm walianza kampeni 2016 kwa kuzuia vyama vya upinzani visifanye mikutano ila wao wanazunguka kila kijiji hukuchukia?

Hakuna haja ya kujinyonga - endelea kutambua uwepo wa JPM mpaka 2020
 
WanaJf, Salaam!

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliweka tume huru ya uchaguzi kwa ajili ya kusimamia shughuli mbalimbali za uchaguzi nchini - Tume hii huru ya Uchaguzi ndiyo hutoa maagizo kwenye vyama vya siasa kwa ajili ya kuanza michakato ya ndani ya kupata wagombea kisha kampeni za uchaguzi huanza.

Rose Mboma, ambaye alionekana na T-shirt iliyoandikwa Nitamchagua Membe 2020 amekiuka si tu taratibu za uchaguzi bali amevunja katiba yetu kwa kuingilia mamlaka za vyama vya siasa na tume huru ya uchaguzi kwa kutangaza wagombea ambao hawajapitia kwenye vyama vya siasa.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu kila mmoja ajitahidi kuwa mtulivu na kuepuka kuvunja katiba, sheria za uchaguzi na kanuni za vyama vya siasa.

Nawakia siku njema.

MK 2019
Mimi nadhani waliomkamata na wewe uliyekereheka na hayo maandishi kwenye T-shirt ndiyo wenye mihemko isiyo na simile, hivi Rose Mboma kawaambia atamchagua Membe 2020 kuwa nani wake? mnaanza kuwa waoga hata unyasi ukiwagusa mnaruka mita 100 kuogopa mkidhania nyoka !!!!!
 
Unajizungusha tu - wewe mwenyewe sehemu ya 1 - 5 uliyoandika unafahamu kwamba si dhamira yako ila hapo ulipomalizia ndiyo hukumu yako kwa mvaa fulana - Sasa JPM hana mpinzani!
😂😂😂😂 kifupi thread yako ni UHARO KABISA
 
Hao ni waliovaa fulana za mwaka 2015 (watunzaji) - kwani wapi wamevaa fulana za kuchagua Magufuli Mwaka 2020?
Hata hizo ni kampeni kwakuwa hazina mwaka. Je wanaoandika mitandaoni kuwa Magufuli anatosha au Nitampa kura yangu Magufuli au Nitamchagua tena Magufuli? Msiangalie upande mmoja kuna kampeni kubwa sana inapigwa kwaajili ya Magu hiyo haiwezi kukemewa.
 
WanaJf, Salaam!

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliweka tume huru ya uchaguzi kwa ajili ya kusimamia shughuli mbalimbali za uchaguzi nchini - Tume hii huru ya Uchaguzi ndiyo hutoa maagizo kwenye vyama vya siasa kwa ajili ya kuanza michakato ya ndani ya kupata wagombea kisha kampeni za uchaguzi huanza.

Rose Mboma, ambaye alionekana na T-shirt iliyoandikwa Nitamchagua Membe 2020 amekiuka si tu taratibu za uchaguzi bali amevunja katiba yetu kwa kuingilia mamlaka za vyama vya siasa na tume huru ya uchaguzi kwa kutangaza wagombea ambao hawajapitia kwenye vyama vya siasa.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu kila mmoja ajitahidi kuwa mtulivu na kuepuka kuvunja katiba, sheria za uchaguzi na kanuni za vyama vya siasa.

Nawakia siku njema.

MK 2019
1111347
1558704669662.png
 
WanaJf, Salaam!

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliweka tume huru ya uchaguzi kwa ajili ya kusimamia shughuli mbalimbali za uchaguzi nchini - Tume hii huru ya Uchaguzi ndiyo hutoa maagizo kwenye vyama vya siasa kwa ajili ya kuanza michakato ya ndani ya kupata wagombea kisha kampeni za uchaguzi huanza.

Rose Mboma, ambaye alionekana na T-shirt iliyoandikwa Nitamchagua Membe 2020 amekiuka si tu taratibu za uchaguzi bali amevunja katiba yetu kwa kuingilia mamlaka za vyama vya siasa na tume huru ya uchaguzi kwa kutangaza wagombea ambao hawajapitia kwenye vyama vya siasa.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu kila mmoja ajitahidi kuwa mtulivu na kuepuka kuvunja katiba, sheria za uchaguzi na kanuni za vyama vya siasa.

Nawakia siku njema.

MK 2019
Takataka kama ninyi ndio mnao sababisha laana bongo hapo
 
mkafrend Hata mimi imenikera kama unavyosemaga aongoze hadi sijui 2025,2035. Ila wewe imekukukera zaidi nakushauri kunywa sumu kero zitakuwa zimefika mwisho.
 
WanaJf, Salaam!

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliweka tume huru ya uchaguzi kwa ajili ya kusimamia shughuli mbalimbali za uchaguzi nchini - Tume hii huru ya Uchaguzi ndiyo hutoa maagizo kwenye vyama vya siasa kwa ajili ya kuanza michakato ya ndani ya kupata wagombea kisha kampeni za uchaguzi huanza.

Rose Mboma, ambaye alionekana na T-shirt iliyoandikwa Nitamchagua Membe 2020 amekiuka si tu taratibu za uchaguzi bali amevunja katiba yetu kwa kuingilia mamlaka za vyama vya siasa na tume huru ya uchaguzi kwa kutangaza wagombea ambao hawajapitia kwenye vyama vya siasa.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu kila mmoja ajitahidi kuwa mtulivu na kuepuka kuvunja katiba, sheria za uchaguzi na kanuni za vyama vya siasa.

Nawakia siku njema.

MK 2019
Tume Huru ya Uchaguzi ..............!!?

Mwenzetu unaishi nchi gani .............!!?
 
Rekebisha andiko lako Kwanza, Tanzania hatuna Tume huru ya uchaguzi Bali tuna Tume ya taifa ya uchaguzi-National electoral committee!

Ndio tuendelee na mjadala
WanaJf, Salaam!

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliweka tume huru ya uchaguzi kwa ajili ya kusimamia shughuli mbalimbali za uchaguzi nchini - Tume hii huru ya Uchaguzi ndiyo hutoa maagizo kwenye vyama vya siasa kwa ajili ya kuanza michakato ya ndani ya kupata wagombea kisha kampeni za uchaguzi huanza.

Rose Mboma, ambaye alionekana na T-shirt iliyoandikwa Nitamchagua Membe 2020 amekiuka si tu taratibu za uchaguzi bali amevunja katiba yetu kwa kuingilia mamlaka za vyama vya siasa na tume huru ya uchaguzi kwa kutangaza wagombea ambao hawajapitia kwenye vyama vya siasa.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu kila mmoja ajitahidi kuwa mtulivu na kuepuka kuvunja katiba, sheria za uchaguzi na kanuni za vyama vya siasa.

Nawakia siku njema.

MK 2019
 
Rekebisha andiko lako Kwanza, Tanzania hatuna Tume huru ya uchaguzi Bali tuna Tume ya taifa ya uchaguzi-National electoral committee!Ndio tuendelee na mjadala

Shida yako iko katika tafisiri tu
 
Daah,ccm kuweni makini bhn.MBNA mnaweweseka na upinzani.MTU kuvaa T-shirt haina ubaya wowote
 
Back
Top Bottom