GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
- Thread starter
- #21
G.R mkuu wangu this is too low kutoka kwako! Sijawahi kuona unaandika kitu poor kama hiki toka nimeijua JF!
Mkuu Mtazamo,
Mpaka nimeandika haya jua sibahatishi. Vuta subira ndugu yangu. Haya maneno utayarudisha kinywani kwako na hiyo imani itaimarika mara dufu.