Fukuto linaloendea Iran, linadhihirisha kuwa US na Israel siyo wa mchezo mchezo. Tanzania nini cha kujifunza?

Can't imagine the world without USA how would it be!

Hii dunia kusingekuwa na chombo cha kudhibiti nchi ndogo ndogo hizi ingekuwa ni ya kishenzi na ukatili wa kutisha.

Kuwepo kwa USA km kiranja mkuu wa dunia kunafanya nchi nyingine ziwe na ustaarabu unaotakiwa.
 
Back
Top Bottom