Kulindwa Author
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 215
- 121
Isis ni sunni
Shia hawezi kuipiga Iran kwakuwa ndiye baba wa mashiaMrusi nas SHIA under Iran wame waumbua .
Ila bado inaonekana wana mpango mpya wakutaka kuipiga Iran maana wanajua ndio kikwazo kwao.
Can't imagine the world without USA how would it be!
Hii dunia kusingekuwa na chombo cha kudhibiti nchi ndogo ndogo hizi ingekuwa ni ya kishenzi na ukatili wa kutisha.
Kuwepo kwa USA km kiranja mkuu wa dunia kunafanya nchi nyingine ziwe na ustaarabu unaotakiwa.