MJENGA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 884
- 848
Kuna mtu anajiita "Bongo Zozo" na kaulimbiu yake "Fujo Isiyoumiza". Binafsi huyu mtu ananitatiza sana. Anafanya akili yangu iwaze na kuwazua beyond its ordinary scope.
Hivi huyu Bongo Zozo ni nani haswa? Ana mission gani hapa nchini? Ni mzalendo kweli kwa nchi yetu ama ametake cover ili aweze kujiinfiltrate ndani ya mifumo yetu?
Nini maana ya "Bongo Zozo" na "Fujo isiyoumiza", siyo code names kweli? Anyway mimi si mtaalam wa haya mambo, naamini wapo wazee wa kazi wanaweza kuzama zaidi na pengine sijui walishazama na kugundua kuwa hana madhara.
Anyway nawaza tu kwa sauti juu ya kutatizwa na huyu jamaa.
Hivi huyu Bongo Zozo ni nani haswa? Ana mission gani hapa nchini? Ni mzalendo kweli kwa nchi yetu ama ametake cover ili aweze kujiinfiltrate ndani ya mifumo yetu?
Nini maana ya "Bongo Zozo" na "Fujo isiyoumiza", siyo code names kweli? Anyway mimi si mtaalam wa haya mambo, naamini wapo wazee wa kazi wanaweza kuzama zaidi na pengine sijui walishazama na kugundua kuwa hana madhara.
Anyway nawaza tu kwa sauti juu ya kutatizwa na huyu jamaa.