Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,313
- 24,171
Wadau JF,
Mnalionaje hili, sasa hivi kuweka pesa yako benki unajitakia umaskini.
Jamaa wa TRA kiulaini wanakuja kuichota kama vile ukakasi wowote ni mali yao.
Kutumia benki kwa malipo halali sasa ni hatari.
Matokeo ya dhahiri ni aidha watu kutopeleka kabisa fedha benki zetu au kudai malipo kwa huduma au bidhaa mbadala(Barter Trade).
Hii italeta parallel economy ambapo serikali itakosa kabisa mapato.
TRA mumo humu tupeni maoni.
Mnalionaje hili, sasa hivi kuweka pesa yako benki unajitakia umaskini.
Jamaa wa TRA kiulaini wanakuja kuichota kama vile ukakasi wowote ni mali yao.
Kutumia benki kwa malipo halali sasa ni hatari.
Matokeo ya dhahiri ni aidha watu kutopeleka kabisa fedha benki zetu au kudai malipo kwa huduma au bidhaa mbadala(Barter Trade).
Hii italeta parallel economy ambapo serikali itakosa kabisa mapato.
TRA mumo humu tupeni maoni.