Unawezaje kudhibiti wizi wa mafuta kwenye magari makubwa?

Twin_Kids

JF-Expert Member
Feb 25, 2016
3,030
4,530
Habari zenu Wakuu, ni tumaini langu hamjambo.

Napenda nijuzwe, yeyote anayefahamu njia za kudhibiti wizi wa mafuta kwenye magari makubwa, naomba anielekeze inavokuwa.

Natanguliza shukrani.
 
Kuna zama fulani niliona wataalamu fulani wanazungumzia namna ya kudhibiti huo wizi.

Ilikuwa Azam Two (Karakana)
 
Habari zenu wakuu. Ni tumaiji langu hamjambo. Napenda nijuzwe,yeyote anayefahamu njia za kudhibiti wizi wa mafuta kwenye magari makubwa,naomba anielekeze inavokuwa.
Natanguliza shukrani
1. Magari yanafungwa ving'amuzi yajulikane popote yanapokwenda.
2. Kunakuwa na software ya kuyatrack na kujua kilomita ambazo gari imetembea.
3. Kufanyia utafiti gari linatumia lita ngapi kwa kila kilomita.
4. Kuyapa magari mafuta kutokana na kilomita inazotumia.

Hivyo ndio makampuni mengi wanavyofanya.
 
Habari mkuu GPS Car Track and Fuel Monitoring tunafunga na utaweza kujua kiwango cha mafuta kilichopo ndani ya tank utapata fuel consuption na fuel filling and theft notification kwa email na app yetu. Tumeshafunga baadhi ya kampuni hapa dar zenye malori ya kwenda zambia na kongo na hawa wa kokoto lugoba nime attach picha ya muonekano wa mobile app ukihitaji zaidi bei na sample ya report nipatie contacts zako. Ahsante
Screenshot_20181109-181705.jpeg
Screenshot_20181109-181214.jpeg
 
Habari mkuu GPS Car Track and Fuel Monitoring tunafunga na utaweza kujua kiwango cha mafuta kilichopo ndani ya tank utapata fuel consuption na fuel filling and theft notification kwa email na app yetu. Tumeshafunga baadhi ya kampuni hapa dar zenye malori ya kwenda zambia na kongo na hawa wa kokoto lugoba nime attach picha ya muonekano wa mobile app ukihitaji zaidi bei na sample ya report nipatie contacts zako. AhsanteView attachment 969841View attachment 969842
Unafunga Chines, Omnicom au Triton?
 
Habari zenu wakuu. Ni tumaiji langu hamjambo. Napenda nijuzwe,yeyote anayefahamu njia za kudhibiti wizi wa mafuta kwenye magari makubwa,naomba anielekeze inavokuwa.
Natanguliza shukrani
Walipe vizuri madereva wako, hiyo habari ya fuel theft itaisha, Unampa mtu gari la mamilioni hafu haumjali ndo matokeo yake hayo.
 
Walipe vizuri madereva wako, hiyo habari ya fuel theft itaisha, Unampa mtu gari la mamilioni hafu haumjali ndo matokeo yake hayo.
Mwizi ni mwizi tu,hata gari umkabidhi na documents zake,kama ni tabia yake atajiibia na yeye mwenyewe
 
Umesha wahi kufunga fuel sender na kufanya calibration?? Vp performance yake na efficiency
Nimefunga sana huu ni mwaka wa 3 natumia hizi sensor performance yake ni nzuri sana. Tazama picha hiyo baada ya calibration
photo_1497604684551.jpeg
 
Vizuri. But namaanisha kutumia fuel sensor ya gari na sio kuweka artificial. Ili kupunguza gharama za kununua sensor na kutoboa Tank
Hizo za kutumia gauge situmii not accurate wateja nishakutana nao waliofungiwa hizo wanasoma fuel kwa graph na sio kwa litres. So nimefunga zangu na wana enjoy. Kutumie gauge ni kupiteza pesa bora uache tu maana mafuta yataibiwa tu ila fuel sensor ni kiboko
 
Hizo za kutumia gauge situmii not accurate wateja nishakutana nao waliofungiwa hizo wanasoma fuel kwa graph na sio kwa litres. So nimefunga zangu na wana enjoy. Kutumie gauge ni kupiteza pesa bora uache tu maana mafuta yataibiwa tu ila fuel sensor ni kiboko
Sasa kwenye matank madogo unafanyaje. Unakata sensor au? Na kwenye Double fuel tanks pia unafunga vipi?
 
Sasa kwenye matank madogo unafanyaje. Unakata sensor au? Na kwenye Double fuel tanks pia unafunga vipi?
Kwenye matank madogo tunapunguza tulifunga kwenye costa ya tank ya lita 100. Kwa gari zenye tank mbili tunafungwa kwenye main then tunakata auto so akitaka kutoa mafuta kwenye reserve kwenda maina lazima asimame then atumie pipe au koki kufungua. Ya tank mbili nazi tumeshafunga zaidi ya kumi ziko poa tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom