Shukran chief, sababu kuu ya overheating huwa nini hasa?Shida ya hizi gari ni overheating tu
Other wise fuel consumption Sio kubwa saana inategemea na uendeshaji wako
Ila ukipitiliza muda wa service hapo ndio itakusumbua
All the best mkuu
From baby walker to xtrail
Mkuu hiyo overheating inasababishwa na nini kitaalam.Shida ya hizi gari ni overheating tu
Other wise fuel consumption Sio kubwa saana inategemea na uendeshaji wako
Ila ukipitiliza muda wa service hapo ndio itakusumbua
All the best mkuu
From baby walker to xtrail
Kwani Kuna sehemu amesema anahofia mafuta?huu ni upuuzi wa hali ya juu, inawezekanaje utake kumiliki gari alafu uofie mafuta na gharama nyinginezo?
Mara nyingi mfuniko wa radiator unaharibika spring na kishindwa kirudisha maji yaliyo kwenda kwenye reserve tank. Hapo ndo ubaya unapoanzia. Unashauliwa kungalia maji na usalama wa mfuniko wenyeweShukran chief, sababu kuu ya overheating huwa nini hasa?
Iko vizuri. Dar Dodoma lita 40 kama utaenda spidi ya 80 - 100km/h. Ukizidisha inakula zaidi kidogo
Angalia ulichoandika na lingalisha ulicho quoteAcha uongo.. xtrail ccm 1999 sio 1200
sijaona uhusiano wa ulichoandika na ulicho quote....Acha uongo.. xtrail ccm 1999 sio 1200
Acha uongo.. xtrail ccm 1999 sio 1200
Ndg yangu. Si nae aonekane kaandika tu. Kweli JF imevamiwaDuuh we jamaa umetoka kuamka ukakutupuka ku quote nini
Kiutaalamu hutakiwi kutumia maji kupoozea engine maana boiling point ya maji ni 100 degrees na operating temparature ya gari ni 95 degrees hivyo unashauriwa kutumia coolant ambayo boiling point yake ni around 180 degrees hadi 200 degrees pia kutumia maji kunaleta corrosion na complications zingineMara nyingi mfuniko wa radiator unaharibika spring na kishindwa kirudisha maji yaliyo kwenda kwenye reserve tank. Hapo ndo ubaya unapoanzia. Unashauliwa kungalia maji na usalama wa mfuniko wenyewe