Fuel consumption toyota Rav 4 VX 1999

jacobcm8

Senior Member
Apr 10, 2014
173
122
Jaman msaada gari yngu toyota rav 4 vx old model 1999 naona haipo sawa kwenye ulaji mafuta

Nikashauriwa niendeshe izime then niweke mafuta kidogo kwa ajili ya testing
Nikaweka mafuta ya 10,000 ambayo ni kama 4.4 litres hivi distance covered 13kilometers

Lilipozima nilirudia tena kuweka petrol ya 10,000 distance covered ikawa around 14 kilometers licha ya

1.Kubadili fuel filter

2.Kuweka sparking plugs mpya zote nzima

3.Nyaya za plugs mpya zote nzima

4.Fuel system throttle body ( regulate the amount of air that flows into the

Engine more details on - what is a fuel system 'throttle body'?)
Icho kifaa kilikua checked pia kiko freshi

Gari imetembea kilometers kama laki na arobaini tu [140,000]

Nimeuliza maana naambiwa atleast itembee 10 upto 14 kilometers per litre kwa hii gari

Wataalamu naombeni ushauri shida inaweza kuwa nini
 
Inapaswa kutembea km14 (1 L kwa km 3+ hv) na ndo ulizo tembea ..unataka nn cha ziada..hyo gari ina CC ngap?
 
Inapaswa kutembea km14 (1 L kwa km 3+ hv) na ndo ulizo tembea ..unataka nn cha ziada..hyo gari ina CC ngap?
2000cc
kwa hiyo 1 litre km 3 plus na siyo 1 litre km 8 plus kwa hiii gari
izo km 14 inatembea hadi kuzima mafuta nloweka niya elfu 10 ambayo n kama 4.4 litres
kwa iyo 4.4 kwa 14 km ni sawa?
 
Hi
2000cc
kwa hiyo 1 litre km 3 plus na siyo 1 litre km 8 plus kwa hiii gari
izo km 14 inatembea hadi kuzima mafuta nloweka niya elfu 10 ambayo n kama 4.4 litres
kwa iyo 4.4 kwa 14 km ni sawa?
Hyo km 14 ni high way au humu kwenye foleni zetu? Ili uzipate hzo unapata iwapo mayb utatembea kwa speed ya km sichini ya 60 per hr..Coz kwa hzo km 14 kwenye foleni utazipata kwenye vits na spacio na raum..kwa hzo cc sidhani.
 
Hi

Hyo km 14 ni high way au humu kwenye foleni zetu? Ili uzipate hzo unapata iwapo mayb utatembea kwa speed ya km sichini ya 60 per hr..Coz kwa hzo km 14 kwenye foleni utazipata kwenye vits na spacio na raum..kwa hzo cc sidhani.
sio high way kaka mizunguko tuuuu ya mtaa kwa mtaa huku kwetu hamna foleniiiiii.............
 
in
Hi

Hyo km 14 ni high way au humu kwenye foleni zetu? Ili uzipate hzo unapata iwapo mayb utatembea kwa speed ya km sichini ya 60 per hr..Coz kwa hzo km 14 kwenye foleni utazipata kwenye vits na spacio na raum..kwa hzo cc sidhani.
ingeongeza ongeza basi 1litre km 3 ingesogea hata 1 litre km 8 basi
 
in

ingeongeza ongeza basi 1litre km 3 ingesogea hata 1 litre km 8 basi
kama hakuna foleni hilo ni tatizo...nilidhani kwenye foleni zetu..na kingine uangalie uendeshaji wako wa gari..breki breki zisiwe nyingi.
 
Hi

Hyo km 14 ni high way au humu kwenye foleni zetu? Ili uzipate hzo unapata iwapo mayb utatembea kwa speed ya km sichini ya 60 per hr..Coz kwa hzo km 14 kwenye foleni utazipata kwenye vits na spacio na raum..kwa hzo cc sidhani.
Tanzania kuna Highway?
Kama ni Highway gari inakula mafuta kidogo unapotembea chini ya 120 km/hr unapozidisha inakula mafuta zaidi kulikoni kwenye barabara za ndani
 
Tanzania kuna Highway?
Kama ni Highway gari inakula mafuta kidogo unapotembea chini ya 120 km/hr unapozidisha inakula mafuta zaidi kulikoni kwenye barabara za ndani
Zipo kwa kiwango chetu.as kwa sisi high way ninzile zinwzoenda nje ya mji
 
Kwanza iyo gari ni CC ngapi kama ni cc 2000, je umefungua engine pale unapoweka oil na kukaza zile... ndefu hapo ndani,
JAMAN MSAADA GARI YNGU TOYOTA RAV 4 VX OLD MODEL 1999 NAONA HAIPO SAWA KWENYE ULAJI MAFUTA
NIKASHAURIWA NIENDESHE IZIME THEN NIWEKE MAFUTA KIDOGO KWA AJILI YA TESTING
NIKAWEKA MAFUTA YA 10,000 AMBAYO NI KAMA 4.4 LITRES HIVI DISTANCE COVERED 13KILOMETERS
LILIPOZIMA NILIRUDIA TENA KUWEKA PETROL YA 10,000 DISTANCE COVERED IKAWA AROUND 14 KILOMETERS LICHA YA
1.KUBADILI FUEL FILTER
2.KUWEKA SPARKING PLUGS MPYA ZOTE NZIMA
3.NYAYA ZA PLUGS MPYA ZOTE NZIMA
4.FUEL SYSTEM THROTTLE BODY ( regulate the amount of air that flows into the
engine more details on - What is a Fuel System 'Throttle Body'?)
ICHO KIFAA KILIKUA CHECKED PIA KIKO FRESHI
GARI IMETEMBEA KILOMETERS KAMA LAKI NA AROBAINI TU [140,000]


NIMEULIZA MAANA NAAMBIWA ATLEAST ITEMBEE 10 UPTO 14 KILOMETERS PER LITRE KWA HII GARI

WATAALAMU NAOMBENI USHAURI SHIDA INAWEZA KUWA NINI
 
JAMAN MSAADA GARI YNGU TOYOTA RAV 4 VX OLD MODEL 1999 NAONA HAIPO SAWA KWENYE ULAJI MAFUTA
NIKASHAURIWA NIENDESHE IZIME THEN NIWEKE MAFUTA KIDOGO KWA AJILI YA TESTING
NIKAWEKA MAFUTA YA 10,000 AMBAYO NI KAMA 4.4 LITRES HIVI DISTANCE COVERED 13KILOMETERS
LILIPOZIMA NILIRUDIA TENA KUWEKA PETROL YA 10,000 DISTANCE COVERED IKAWA AROUND 14 KILOMETERS LICHA YA
1.KUBADILI FUEL FILTER
2.KUWEKA SPARKING PLUGS MPYA ZOTE NZIMA
3.NYAYA ZA PLUGS MPYA ZOTE NZIMA
4.FUEL SYSTEM THROTTLE BODY ( regulate the amount of air that flows into the
engine more details on - What is a Fuel System 'Throttle Body'?)
ICHO KIFAA KILIKUA CHECKED PIA KIKO FRESHI
GARI IMETEMBEA KILOMETERS KAMA LAKI NA AROBAINI TU [140,000]


NIMEULIZA MAANA NAAMBIWA ATLEAST ITEMBEE 10 UPTO 14 KILOMETERS PER LITRE KWA HII GARI

WATAALAMU NAOMBENI USHAURI SHIDA INAWEZA KUWA NINI
Nunu engine ya passo mkuu vinginevyo haiwezekani kwenda 1 Lt kwa km 14 gari kama RAV4
 
2000cc
kwa hiyo 1 litre km 3 plus na siyo 1 litre km 8 plus kwa hiii gari
izo km 14 inatembea hadi kuzima mafuta nloweka niya elfu 10 ambayo n kama 4.4 litres
kwa iyo 4.4 kwa 14 km ni sawa?
Uliendeshea highway au kwenye mafoleni?
 
JAMAN MSAADA GARI YNGU TOYOTA RAV 4 VX OLD MODEL 1999 NAONA HAIPO SAWA KWENYE ULAJI MAFUTA
NIKASHAURIWA NIENDESHE IZIME THEN NIWEKE MAFUTA KIDOGO KWA AJILI YA TESTING
NIKAWEKA MAFUTA YA 10,000 AMBAYO NI KAMA 4.4 LITRES HIVI DISTANCE COVERED 13KILOMETERS
LILIPOZIMA NILIRUDIA TENA KUWEKA PETROL YA 10,000 DISTANCE COVERED IKAWA AROUND 14 KILOMETERS LICHA YA
1.KUBADILI FUEL FILTER
2.KUWEKA SPARKING PLUGS MPYA ZOTE NZIMA
3.NYAYA ZA PLUGS MPYA ZOTE NZIMA
4.FUEL SYSTEM THROTTLE BODY ( regulate the amount of air that flows into the
engine more details on - What is a Fuel System 'Throttle Body'?)
ICHO KIFAA KILIKUA CHECKED PIA KIKO FRESHI
GARI IMETEMBEA KILOMETERS KAMA LAKI NA AROBAINI TU [140,000]


NIMEULIZA MAANA NAAMBIWA ATLEAST ITEMBEE 10 UPTO 14 KILOMETERS PER LITRE KWA HII GARI

WATAALAMU NAOMBENI USHAURI SHIDA INAWEZA KUWA NINI
badilisha pia na oxygen sensor,ikiwezekana hata air cleaner

ukikanyaga sana accerelator inatoa moshi wa rangi gani?
 
nozzle ndio kitu gan
18qehwo2l4durjpg.jpg The fuel dispensing thingie
 
Hi

Hyo km 14 ni high way au humu kwenye foleni zetu? Ili uzipate hzo unapata iwapo mayb utatembea kwa speed ya km sichini ya 60 per hr..Coz kwa hzo km 14 kwenye foleni utazipata kwenye vits na spacio na raum..kwa hzo cc sidhani.
Acha kumpa moyo hiyo Gari itakuwa na shida. Haiwezikani ikanywa mafuta hivyo
 
Back
Top Bottom