SOURCE: Uchaguzi Tanzania ......VERIFIED report
Katika jimbo la uchaguzi Tarime kuna nyongeza ya wapiga kura ambayo imetolewa na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo.Kati ya maelekezo yaliyomo kwenye barua hiyo ni kwamba hata wale wapiga kura ambao namba zao zimetofautiana na daftari la kujiandikisha waruhusiwe kupiga kura,pia hata kama vitambulisho vyao havina picha waruhusiwe kupiga kura pia.
MBONA HII INATOKEA KWENYE MAJIMBO AMBAYO UPINZANI INAONEKANA KUWA NA NGUVU, MIMI NAONA CCM NA TUME YA UCHAGUZI NI KITU KIMOJA...TUTALIA NAO MPAKA KIELEWEKE NA VURUGU KIDOGO TU AU UDANGANYIFU INTERNATIONAL COMMUNITY IKO NA SISI...CHAGUA DR. SLAA
CLICK: Please read this report
Katika jimbo la uchaguzi Tarime kuna nyongeza ya wapiga kura ambayo imetolewa na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo.Kati ya maelekezo yaliyomo kwenye barua hiyo ni kwamba hata wale wapiga kura ambao namba zao zimetofautiana na daftari la kujiandikisha waruhusiwe kupiga kura,pia hata kama vitambulisho vyao havina picha waruhusiwe kupiga kura pia.
MBONA HII INATOKEA KWENYE MAJIMBO AMBAYO UPINZANI INAONEKANA KUWA NA NGUVU, MIMI NAONA CCM NA TUME YA UCHAGUZI NI KITU KIMOJA...TUTALIA NAO MPAKA KIELEWEKE NA VURUGU KIDOGO TU AU UDANGANYIFU INTERNATIONAL COMMUNITY IKO NA SISI...CHAGUA DR. SLAA
CLICK: Please read this report