Fuatilia Matangazo ya Moja kwa Moja ya Iftar Maalum ya Mayatima na Wajane kupitia Mitandao ya Kijamii ya CCM.

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
Fuatilia Matangazo ya Moja kwa Moja ya Iftar Maalum ya Mayatima na Wajane kupitia Mitandao ya Kijamii ya CCM

IFTARI MAALUM YA MAYATIMA NA WAJANE ILIYOANDALIWA NA MA-SHEKH WA MKOA WA DODOMA KUADHIMISHA MWAKA MMOJA WA UONGOZI MHE.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

YouTube



Twitter


Facebook.


Pamoja na Televisheni za Clouds Tv pamoja na Channel 10
 
Fuatilia Matangazo ya Moja kwa Moja ya Iftar Maalum ya Mayatima na Wajane kupitia Mitandao ya Kijamii ya CCM

IFTARI MAALUM YA MAYATIMA NA WAJANE ILIYOANDALIWA NA MA-SHEKH WA MKOA WA DODOMA KUADHIMISHA MWAKA MMOJA WA UONGOZI MHE.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

YouTube



Twitter


Facebook.


Pamoja na Televisheni za Clouds Tv pamoja na Channel 10

Chawa wameanza kukanyagana,
Mayatima wanahitaji kupelekwa Shule nzuri na malezi bora.
Hivyo vifutari vyenu ni vya kuuzia sura
 
Chakula cha siku moja hakina maana,hapa tunawatumia yatima kwa faida za kisiasa.
 
Wadau watahesabu views za youtube. Waambieni watu watizame ili kuchangamsha takwimu.
 
Nakumbuka pia Mzee Reginald Mengi alikuwa na hafla ya chakula na walemavu kila mwaka..

Kwa hili, Hongera CCM..
 
Back
Top Bottom