Fuatilia live updates kinachoendelea jobo cyclone towards Dar es Salaam

Hechinodemata

JF-Expert Member
Sep 16, 2016
1,467
3,228
Screenshot_20210424-035044_Samsung%20Internet.jpeg


Fungua link hapo kujua kinachoendea juu kimbunga jobo ili kuchua tahadhari madhubuti, Yatupasa kuomba mungu sana atuepushe na janga hili ili kunusuru uharibifu mkubwa wa mali na maisha ya waliopo kwenyw mkondo huo. Tuombe mungu speed izidi kupungua kadri kimbunga kicho kinavyozidi kusogea mchini kwetu

Utabiri unaonesha kimbunga kitatua Dar es salaam kuanzia wakati wa usiku wa saa 9 ukikiwa na speed ya 55km/hr.

Hii ni speed kubwa sana na kinaweza kuacha uharibifu mkubwa. Tunategemea kuwa na ukinzani wa upepo wa baharini utakao punguza zaid speed hiyo ya kimbunga ila itategemea na hali ya hewa baharini kwa wakati huo.

Tahadhar mbalimbali zimetolewa na mamlaka ya hali ya hewa pia na balozi za nchi tofauti zilizoko tanzania juu ya kimbunga hicho. Tahadhari hizo ni pamoja na

1. Usafir wa majini kufuatilia kwa makin hali ya hewa au kutoendesha vyombo baharini
2. Shughuli zote za baharini kutokuwepo kwa wakati huo
3. Wakazi walio maeneo yaliyo ainishwa yatapata adhar ya kimbunga kuchukua tahadhari zote ikiwa ni pamoja na kutoka maeneo hatarishi.
4. Wakazi wa mabondeni na sehemu zenye mafuriko kutoka hayo maeneo, ikimbukwe kimbunga hicho kinaweza ambatana na mvua kubwa.
5. Balozi mbalimbali zimeenda mbali zaidi kuwataka raia wake kutulia majumbani na kuwa mahitaji yote muhimu
6. Wasiendeshe magari siku husika
7. Wafuatilie kwa umakini taarifa zote muhimu watakazo yoa juu ya kimbunga hicho. e.t.c

UTANISAMEHE MIMI SIO MUANDISHI MZURI.
 
Walimu na Wazazi
Nawashauri sana sana, kutokana na kimbunga hiki ambacho athari zimeanza kujitokeza Mbeya kwa mvua kubwa na landslide basi WATOTO wabakie majumbani au SHULE iwe kwenye "Emergency plan" endapo kutatokea dharura yoyote ile.

Kama ni lazima waende shule basi nashauri pia Walimu simu zenu ziwe hewani na muweze kutoa ushirikiano na Wazazi. Mwanafunzi asiruhusiwe kuondoka bila kuwa na mawasiliano na Mzazi (kama tu hali itabadilika, vinginevyo nawatakia siku njema)
 
Walimu na Wazazi
Nawashauri sana sana, kutokana na kimbunga hiki ambacho athari zimeanza kujitokeza Mbeya kwa mvua kubwa na landslide basi WATOTO wabakie majumbani au SHULE iwe kwenye "Emergency plan" endapo kutatokea dharura yoyote ile.

Kama ni lazima waende shule basi nashauri pia Walimu simu zenu ziwe hewani na muweze kutoa ushirikiano na Wazazi. Mwanafunzi asiruhusiwe kuondoka bila kuwa na mawasiliano na Mzazi (kama tu hali itabadilika, vinginevyo nawatakia siku njema)
doh saa9 usiku tutakua tumelala wengine..YARABBI KWA BARAKA ZA MWEZI HUU MTUKUFU..TUEPUSHIE MBALI.
 
NIMESHAPIGA DUA HAPA "KUNNUT" ALLAH ATAPUNGUZA UKALI WAKE NA KUWA HEWA SAFI YENYE UBARIDI MURUA,INSHAALLAH.
 
Back
Top Bottom