Asante kwa kutupa maujuziIli kupata star tv kwa
star times tena unakwenda menu.halafu chini kuna system setting
unabonyeza ok then inakuja channel search then inakuja manual search
mbele kuna namba 451unabonya namba 053 halafu okay inakua in search and
unapata star tv na channel nyingine.
nimekubali..... hii ni noma
ninyi ni waongo sana,acheni upuuzi.
Naona star times wameirudisha.yawezekana mgogoro umekuwa solved
Kama una startime t2 dikoda weka 474 au 490 enjoy
Hii ina apply kwa wa (mikoani?)zanzibar nchi au mkoa?Kama una startime t2 dikoda weka 474 au 490 enjoy
Naona wameutegua ule ujanja, sasa zile chanel 13 zilizoongezeka hazipo tena!
Hakuna kitu kama hiki...