safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
- Thread starter
- #21
Mkuu kama ni kazini kwako usiache pesa.Aisee hii huwa nafanya sana... Yaan kwa sehemu nayopigia job, kwa siku 5000 Tshs. inaingia!
Itakuwa nakosea kumbe!?
Kama nii home au kakuomba umsaidie kitu kwa kazi ambayo haina utaalamu maalumu hapo unaweza kukataa.