Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,620
- 16,365
Piiiiiiiiiiiga hao mikiaaaa
Alaah, kumbe mechi imeshaisha.....
Alaah, kumbe mechi imeshaisha.....
Unachekesha sana, sio timu ya kuishinda simba na jana ilifanyaje?Tumewahurumia tu chura nyie, Yanga sio team ya kuishinda Simba.
Siamini kama Simba mmekua wapole hivi aarh 😂😂aaaha mkuu Mimi nishakiri mbona kua Jana watani zetu mmcheza mpira Bomba kabisa hongera Sana
Asiyekubali kushindwa si mshindani nyingine mbwembwe za utani tu!
😂😂😂😂😂
Simba wa kufugwa haooo, mambo mkuu! tar 25 ni as usual 1-0 tena, jana tumewakata ngebee😂Bet tarehe 25
Poa sana. Hapa nashushia sharbati baada ya kipigo cha jana. Nasikia ulisahau mpaka jina lakoPoa we mzee za wewe
Hivi na yule mshabiki wa mbumbumbu fc aliyetembea kwa miguu kutoka huko Kigoma na tambo lukuki na kutishia watu wazima nyau, ameshaanza safari ya kurudi?Mzee wetu mzee mpili asafirishwe kwenda kigoma tarehe 25 akashuhudie mtanange
Mm shida yangu kubwa ni hadija manara anavyoropoka Kama kavaa shumizi ya mkewe bahati mbaya inampwaya anakera sana kima yuleSiamini kama Simba mmekua wapole hivi aarh
Hadija tena😂😂😂Mm shida yangu kubwa ni hadija manara anavyoropoka Kama kavaa shumizi ya mkewe bahati mbaya inampwaya anakera sana kima yule
Anamaneno ya chooni Sana Mara atukane waandishi wa habari hadi kuwadharirisha waandishi wa kike ajabu jukwaa la wahariri wanamgwaya mbwa yuleHadija tena
Tuliwapa offer jana mpumue kidogo pia muongeze vipoint maana ubingwa ni wa simba sasa ya nini kutowapa ahuweni utoporo?Unachekesha sana, sio timu ya kuishinda simba na jana ilifanyaje?
Mikia ni mikia tu kama akili zao
Thubutu yenu tunawanyuka za kutoshaSimba wa kufugwa haooo, mambo mkuu! tar 25 ni as usual 1-0 tena, jana tumewakata ngebee😂
hapaaaaana Leo hatupendi kelele twalala tu hata vijiwe vya Kahawa hatutokei!Siamini kama Simba mmekua wapole hivi aarh 😂😂
Kimoko tu kinawatosha....Thubutu yenu tunawanyuka za kutosha
Kama cha jogoo, sisi tunataka sho shoKimoko tu kinawatosha....
haina haja ya kusumbuana saana
Mmetoa offer mmekuwa wanawake wauza nyuchi?Tuliwapa offer jana mpumue kidogo pia muongeze vipoint maana ubingwa ni wa simba sasa ya nini kutowapa ahuweni utoporo?
Furahini shangilieni kwa kupewa offer na Simba, ila ubingwa mtausikia kwa simba tu
Tarehe 25 tunawaachia akina kabwili muwafunge mfurahiThubutu yenu tunawanyuka za kutosha