Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,489
- 188,636
Mkuu hivi bado upo?Sio funguo tu litolewe upepo kwenye magurudumu wanaweza kuwa na funguo ya ziada.
Mkuu hivi bado upo?Sio funguo tu litolewe upepo kwenye magurudumu wanaweza kuwa na funguo ya ziada.
Mkuu unatumia dawa gani kuwa makini usizidishe kipimo.Leo baada ya saa moja jioni, kutakuwa na uhaba wa hali ya juu wa dicloper na Panadol,
Mashabiki wa yanga watazinunua kwa fujo kupooza maumivu!!! Watakuwa wanazibugia kumi kumi!!
Hivi bado wapo humu kweli?Kila rakheri Yanga , Piga Simba wa kufugwa hao
Pole kwa kushinda njaa mkuu.ninachojua Simba leo tunashinda, goli ngapi sijui ila Tunashindaaa
Amka toka usingizi mkuu usije jinyea!Simba 12 - 0 Yanga
Umeona kimoja kama cha Nguruwe ila watoto mia.Msipotee baada ya mechi
Naona wamekimbia wote.Upande wa kelele , vijembe na matusi tumewaachia watani zetu sisi ni Uwanjani. Yaani tunakuliza kisha tunawaacha mchague wenyewe lawama unampa nani.
Kila la kheri timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Na cha usiku unapata tena ningekuwa Mie nakupa kimoja TuKatika siku niliamini tunapiga chura kwa asilimia ni leo wakuu nimebeti na my husband dah Elfu kumi yangu inaondoka kimasihara
Hakuna mganga hapoAnko Mshana Jr yaani ungekua unabet ungekua unapasuka daily
Dadeki zenu na mchawi wenu mpili, tukutane 25 JulyKukurukaaaaa mwanango haruuuh.... ( in bambo voice ) 😂😂😂 hampati kitu
Swahiba huyo bwege kaniunganishia mitusi nimeishia kumcheck tu maana najua wamekaririshwa vibayaWashamba wa mitandao hao.
Akitokea Mbwiga kama huyo unamuangalia kisha unasema hihihihiiiiiiiiii. 😀😀
Dumas the terrible and Mtoto halali na hela , i told you kimoko tu kinawatosha😂😂 mmeona sasa yaani ningebeti leo ningepiga pesaSimba wapo mikumi nyie huku majumbani mnafanya nini? subiri leo ni Kimoko tu kinawatosha😂
Bet tarehe 25Dumas the terrible and Mtoto halali na hela , i told you kimoko tu kinawatosha😂😂 mmeona sasa yaani ningebeti leo ningepiga pesa
aaaha mkuu Mimi nishakiri mbona kua Jana watani zetu mmcheza mpira Bomba kabisa hongera SanaDumas the terrible and Mtoto halali na hela , i told you kimoko tu kinawatosha😂😂 mmeona sasa yaani ningebeti leo ningepiga pesa
Bahati mbaya sana kwa siasa za mpira wetu nyoni ndio safaribyake simbabinaweza ikawa imetimia. Maana kuna watu wanaamini eti baadhibya wachezaji wamehujumu hiyo mechi...
Hahhaha zile enzi hazirudi dada tumeshazeeka sasa hiviDada nmejikuta naikumbuka miaka ile ya umbea. Tulijua sana kuandikia jikoni.
Ila pole Dada yangu ndo mpira huo.