Yanga wa mchongo siyoMi ni yanga ila madogo wanaupiga sio utani
Yanga wa mchongo siyoMi ni yanga ila madogo wanaupiga sio utani
...Huyo ni mkia fc alikuwa anazuga kujiita mwananchi..Mkuu vipi tena!? Uwanja uko Dodoma au Arusha? Halafu Feisal hayupo hata benchi!
Kweli mkuu huku mkiwa na viporo 10+ mwaka huu kumbuka viporo ni vichacheukiona vyura wanapga kelele ovyo, ujue madimbwi yamejaa maji, msifurahi sana, maana misimu yote tulochukua ubingwa, tuliwatanguliza kama sasa.
Mimi naona refa Anaya beba mafisi fcRefa anaibeba Yanga
We jamaa hueleweki kabisaWayaaaaa
Mechi mbili tu zimewavuruga ubongo, yaani nyie akili kuwarudia mpaka timu yenu ile ipate ushindi lasivyo idadi ya wanaougua akili itaongezekaYanga tunapata kona hapa
Wakati nàtoa maoni humu nilisema, kungekuwa na VAR timu zote mbili zinhepoyeza Wachezaji.Miaka ya nyuma kuna jamaa aliwai kunichezea faulo ya kibwege timu ya mtaani.
Alikua anakaa mbele yangu ananipa mgongo alafu ananikanyaga kwa kisigino chake,ukipigwa mpira wa juu siruki wala sitoki pale nilipo,keshanibana na mguu wake kwa kunikanyaga,refa awezi kuona kwasababu yeye mcheza faulo yupo mbele yangu.
Kafanya kama marambili hivi ya tatu nilimpa kiwiko cha uso nikampasua,zikatokea vurugu kikanuka na mpira wenyewe ukaishia hapo hapo.
Kuna faulo mtani ni za kuudhi kama hii aliyofanyiwa Djuma Shaaban zinaamsha hisia kali kiasi cha ku-loose control.
Sawa ila kuimba kupokezanaMechi mbili tu zimewavuruga ubongo, yaani nyie akili kuwarudia mpaka timu yenu ile ipate ushindi lasivyo idadi ya wanaougua akili itaongezeka
Inategemea na unachoimbaSawa ila kuimba kupokezana
Yanga wameokolewa na Mayele tu , vinginevyo hawana loloteFirst XI Cha Miamba Wa Soko.
View attachment 2092763
Beki wa Polisi anamsindikiza Mayele hadi ndani ya 18.Yanga wameokolewa na Mayele tu , vinginevyo hawana lolote
Mayele ni mchezaji wa SimbaYanga wameokolewa na Mayele tu , vinginevyo hawana lolote
Mayele ndio kazi yake analipwa kwa kazi hiyo.Nyie endeleeni na maveterani wenu control ya mpira chumba na sebule.Yanga wameokolewa na Mayele tu , vinginevyo hawana lolote
Ndo ujue Rage alikuwa sahihi Mkuu.Wamesahau walikuwa wa viporo mechi 6 au 8 kabisa na hawakumbuki kuwa idadi ya mechi msimu huu ni chache.
Mayele ni mchezaji wa Polisi!Yanga wameokolewa na Mayele tu , vinginevyo hawana lolote
KabisaNdo ujue Rage alikuwa sahihi Mkuu.
Wengi wanaopiga kelele hawajui moto mtu akiwa kashatoa mpaka jasho la chumviDjuma alikosea
Lakini kama umewahi kucheza mpira huwezi kumlaumu djuma