OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,714
muulize refa aliyekataa goli sio mimi.Mpira umewahi hata kupiga danadana mkuu?
muulize refa aliyekataa goli sio mimi.Mpira umewahi hata kupiga danadana mkuu?
Malipo humuhumuMpira umewahi hata kupiga danadana mkuu?
Muulize muamuziGoli la kona ni offside??
Haaa wapi,,sahivi wanakwambia''ubingwa atuchukui ila lazima Simba tumpige'',haya ndo maneno wamebakiza.Wazee ubingwa bado mna ndoto nao?
Ni kweli aisee bora muhamie kwenye redeNyie mnapigania nafasi na tff, hatuna haja na mpira tena
Mmebemendwa mkuuMpira umewahi hata kupiga danadana mkuu?