mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,173
- 2,870
Alafu hapa jf usikute tunakaa na vitoto vyetu vya kuvizaa kabisa ,mwanasport hawez kuongea ujinga Kama huu. Fake I'd zimeficha mengi Sana ,Kuna watu hapa tungewajua hata wanavyoishi huko makwao ingekuwa vituko .Taratibu mtani, UNAOLEWA tena jamani, nani huyo anakuoa