Leo kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Mabingwa wapya wa Tanzania Bara, Dar es Salaam Young Africans almaarufu kama Yanga dhidi ya timu ya Mbeya City kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya
Mechi hii ya leo itatumika pia kwa kuikabidhi Yanga kombe la ubingwa wa ligi hiyo, kombe la 28 kwenye ligi
Endelea kuwa nami kwenye kujulishana kinachokuwa kinaendelea kwenye mechi hiyo
============
Mpira umeanza
1' Mbeya City 0-0 Yanga
4' Mbeya City wanakosa goli hapa
Mechi hii ya leo itatumika pia kwa kuikabidhi Yanga kombe la ubingwa wa ligi hiyo, kombe la 28 kwenye ligi
Endelea kuwa nami kwenye kujulishana kinachokuwa kinaendelea kwenye mechi hiyo
============
Mpira umeanza
1' Mbeya City 0-0 Yanga
4' Mbeya City wanakosa goli hapa