Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea kupigwa leo September 9, 2022 ambapo Singida Big Stars walikuwa wakipepeta na Klabu ya Dodoma Jiji FC.
Matokeo ya mchezo huo ni kuwa Singida Big Stars Ulimi nje baada ya kubanwa mbavu kwa kulazimishwa sare ya bila kufungana kwenye uwanja wao wa nyumbani Liti Stadium.
FT: Singida Big Stars 0-0 Dodoma Jiji FC.
Matokeo ya mchezo huo ni kuwa Singida Big Stars Ulimi nje baada ya kubanwa mbavu kwa kulazimishwa sare ya bila kufungana kwenye uwanja wao wa nyumbani Liti Stadium.
FT: Singida Big Stars 0-0 Dodoma Jiji FC.