😂😂😂 asiekubali kushindwa sio mshindaniView attachment 1786375
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Daah kauli yako imetimiaKila nikijaribu kuitakia mema Simba ulimi unakuwa mzito.
😂😂😂Kwenye begi mkuu
Ni kawaida ya mashabiki kujivunia ushindi bwashee.Mngeshinda, humu ndani kusingekalika......
Ni ngumu lakini inawezekana kama wao walivyoweza kutupiga 4g sisi pia atuwezi kushindwa.
Mwenye nuksi kocha wenu bwana...leo kashindwa nadharia na mchezo wa mpira.Mashabiki tukiwaambia mtoeni Mgaru hamtaki ananukusi.Basi kombe tumesha likosa
Njoo tuwekee idadi mkuu au mpaka baadaee??Mechi ya leo simba anashinda ila idadi ya goli nitakuja kuiweka baadae
Yaani ni mchawi anatafutwa hadi apatikane tuhuma zina zaidi ya mwezi wamezinyamazia kimya tu siyo wao Kapombe na Zimbwe hadi klabu imekausha tu niliandika UZI HAPA NIKAWAONYA KWAMBA IIKITOKEA SIKU VS UTOPOLO WAKACHEZA MADUDU(UNFORTUNATELY YALITOKEA JANA) watazitapika hizo hela za pre contractwitch hunting on fleek.
acha hizo,anzeni kujipanga na mechi ijayo.
ahahaha
Kuna watu hapa JF wanaichukia yanga ajabu; ni wewe na Gentamycine ila nakupa Zawadi yakotulia wewe utopolo
Baada ya kutolewa na Kaizer, utasikia Simba wanamtaka huyu kocha.
Gafla Simba amekuwa pisi kali huko bondeni.Kweli goli nne ni nyingi, kuwapiga nne au zaidi kwa Mkapa ni ngumu sana.
Kwa Mkapa wanaweza kufa ila goli zaidi ya tatu ama nne sidhani.
Leo Simba tepigwa na kitu kizito kichwani,Nyati kagoma kuliwa na Simba leo.