Frustrations: Walitarajia mpaka muda huu CHADEMA iwe imesambaratika na kushindwa hata kutimiza majukumu yake ndani ya Bunge

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Bila shaka haya ndio yalikuwa matumaini yao kuona CHADEMA mpaka kufikia mwisho wa vikao vya Bunge, chama kiwe kimesambaratika mitaani na Bungeni abaki Mbowe labda pengine na wabunge wasiozidi watano ila hali ni tofauti kabisa.

Hadi kufikia leo,CHADEMA bado iko ngangari na leo wamesoma Bajeti mbadala bila mkwamo hivyo wameshinda mtihani wa kuhujumiwa kwa miaka mitano na sasa Bunge linakwenda kuvunjwa na hata kama wako wataohama, bado hakuna kitachoiyumbisha CHADEMA.

Licha ya hujuma zote,CHADEMA iko kila mahali nchi hii kuanzia ngazi za vitongoji mpaka Taifa na iko imara katika ngazi zote kuanzia chini mpaka juu.

CHADEMA ni kama siti ya daladala,akitoka huyu anaingia mwingine tena kwa kuwahi faster asikose siti.

Poleni sana ila angalieni msife kwa frustrations baada ya kushindwa kutimiza azima yenu.

CHADEMA kwa watanzania ni mpango wa Mungu kama ilivyokuwa Mussa kwa wana wa Isreali.

Miaka mitano wanatwanga maji kwenye kinu na bado hawashituki!!!Sijui kama wako timamu!!

Aibuuu!!!!
 
Chama kimebaki na watu wasio nunulika makapi yote yamechujwa na kurudi ccm

Mbowe kapewa 5billion asigombee uwenyekiti kachomoa, Mnyika, Mde, Bulaya, Matiko Milion 500 na uwaziri wamechomoa wakina Sugu, Lema mil 300 na ubunge wakachomoa.

Watu watakao baki chadema ndio wazalendo na wanatakiwa kupewa nchi

Chadema inaenda kuwa imara zaidi ya 2015 kwenda nyuma ambapo ilikuwa na watu watiifu na wafia chama na ambao wapo tayari kwa lolote..
 
Chama kimebaki na watu wasio nunulika makapi yote yamechujwa na kurudi ccm

Mbowe kapewa 5billion asigombee uwenyekiti kachomoa, Mnyika, Mde, Bulaya, Matiko Milion 500 na uwaziri wamechomoa wakina Sugu, Lema mil 300 na ubunge wakachomoa.

Watu watakao baki chadema ndio wazalendo na wanatakiwa kupewa nchi

Chadema inaenda kuwa imara zaidi ya 2015 kwenda nyuma ambapo ilikuwa na watu watiifu na wafia chama na ambao wapo tayari kwa lolote..
Katika hili,Jiwe na watu wake wameangukia pua tena kwa aibu .
 
Bila shaka haya ndio yalikuwa matumaini yao kuona CHADEMA mpaka kufikia mwisho wa vikao vya Bunge, chama kiwe kimesambaratika mitaani na Bungeni abaki Mbowe labda pengine na wabunge wasiozidi watano ila hali ni tofauti kabisa.

Hadi kufikia leo,CHADEMA bado iko ngangari na leo wamesoma Bajeti mbadala bila mkwamo hivyo wameshinda mtihani wa kuhujumiwa kwa miaka mitano na sasa Bunge linakwenda kuvunjwa na hata kama wako wataohama, bado hakuna kitachoiyumbisha CHADEMA.

Licha ya hujuma zote,CHADEMA iko kila mahali nchi hii kuanzia ngazi za vitongoji mpaka Taifa na iko imara katika ngazi zote kuanzia chini mpaka juu.

CHADEMA ni kama siti ya daladala,akitoka huyu anaingia mwingine tena kwa kuwahi faster asikose siti.

Poleni sana ila angalieni msife kwa frustrations baada ya kushindwa kutimiza azima yenu.

CHADEMA kwa watanzania ni mpango wa Mungu kama ilivyokuwa Mussa kwa wana wa Isreali.

Miaka mitano wanatwanga maji kwenye kinu na bado hawashituki!!!Sijui kama wako timamu!!

Aibuuu!!!!
Chakuwalaumu ni kimoja tuu wanatupelekesha tulipe kodi tunalipa mpaka mama ntilie wanalipa pesa zimekua nyingi zinanunua wabunge na madiwani ushenzi mwingi sana ila mwisho wao umewadia
 
Myopia!
Kwani sasa kuna chadema au kutimiza wajibu tu?subirini tarehe ya mwisho kuvunjwa bunge
 
Kwa kweli juhudi ambazo no za kishamba na kijinga zilizotumika CDM inastahili pongezi hasa wanachama halisi na wabunge ambao hawkaufika Bei.

No heshima kubwa sana, generation zenu zitaheshimika sana ukizingatia kizazi kinachokuja kina uelewa mkubwa was mmabo ya siasa hasa HAKI, USAWA NA UWAZI katika siasa za Karne hii.

Siku zote naamini kwamba CDM ipo imara sana kuliko wakati wowote ndio maana CCM na DOLA wanatamani waifute kwa kutumia hila.

Viongozi wetu hawapo kwa ajili ya TZ bali matumbo na madaraka. Nitaendelea kuunga mkono CDM na ACT.

Viva DEMO, Viva ACT, Viva Mbowe, Lissu, Zitto,Mdee,Bulaya,Heche, Sharif, Matiko, Mnyika etc

Mungu awaongoze kwenye mapigano ya HAKI.
 
Unadhani hata wakiondoka kumi au ishirini ndio CHADEMA itakufa?
Kufa kqa chama sio jina.bqashee,kufa kwa chama ni zile shughuli za kila siku za kujitanua
TADEA ipo kimaandishi lak i ni.imekufa tu,na chadema.mmeshafika huko mkipata wabunge hata wawili mkachinje kuku
 
Bila shaka haya ndio yalikuwa matumaini yao kuona CHADEMA mpaka kufikia mwisho wa vikao vya Bunge, chama kiwe kimesambaratika mitaani na Bungeni abaki Mbowe labda pengine na wabunge wasiozidi watano ila hali ni tofauti kabisa.

Hadi kufikia leo,CHADEMA bado iko ngangari na leo wamesoma Bajeti mbadala bila mkwamo hivyo wameshinda mtihani wa kuhujumiwa kwa miaka mitano na sasa Bunge linakwenda kuvunjwa na hata kama wako wataohama, bado hakuna kitachoiyumbisha CHADEMA.

Licha ya hujuma zote,CHADEMA iko kila mahali nchi hii kuanzia ngazi za vitongoji mpaka Taifa na iko imara katika ngazi zote kuanzia chini mpaka juu.

CHADEMA ni kama siti ya daladala,akitoka huyu anaingia mwingine tena kwa kuwahi faster asikose siti.

Poleni sana ila angalieni msife kwa frustrations baada ya kushindwa kutimiza azima yenu.

CHADEMA kwa watanzania ni mpango wa Mungu kama ilivyokuwa Mussa kwa wana wa Isreali.

Miaka mitano wanatwanga maji kwenye kinu na bado hawashituki!!!Sijui kama wako timamu!!

Aibuuu!!!!
Chadema ife mala ngapi?
Chadema iliondoka na Dr Slaa!
 
Kufa kqa chama sio jina.bqashee,kufa kwa chama ni zile shughuli za kila siku za kujitanua
TADEA ipo kimaandishi lak i ni.imekufa tu,na chadema.mmeshafika huko mkipata wabunge hata wawili mkachinje kuku
Kama imekufa mwambieni meko aachie mikutano ya siasa.
 
Back
Top Bottom