Frustrations tu: Waziri wa Mambo ya Nje akiwa Rais ni misele ya nje kila siku, ukichagua wa ujenzi ni kuvunja nyumba tu

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,635
29,967
Nadhani tuwekane sawa naona kuwepo kipindi maalumu cha kuwapa mazoezi ya urais wanaochaguliwa, maana mtu akiwa waziri wa wizara fulani hata akiwa rais anadhani ye bado ni waziri wa sekta hiyo Hata hotuba zake nyingi zitajikita pale, na matatizo anayoshughulika nayo yatakuwa pale pale tu

Mheshimiwa Kikwete alikuwa waziri wa mambo ya nje baada ya kuwa rais alidhani bado ni waziri wa mambo ya nje akaendelea na utaratibu wake wa pipa kila siku, ametembea muda mwingi kuliko rais yeyote kuwahi kutokea yaan safari za pamoja za 2005-2010 za rais kagame ukijumlisha za Mseveni ukaweka za Joseph kabila ukamalizia kidogo za Uhuru kenyata Na Kibaki kwa muda huo ni safari 632 Lakini za kikwete tu zilikuwa 761 hatari sana

Mheshimiwa Magufuli
ye kwakuwa alizoea ziara za kukagua bara bara Katavi, kigoma rusahunga, nyakanazi baada ya kuwa rais alitaka aendelee na ziara hizo za kutumia gari mkwara wa kwanza ulikuwa kwenda Dodoma kwa gari
mbali zaid anaingilia majukumu ya waziri wa ujenzi, yaan Mbalawa kafunikwa kabisa ni kama vile wizara hiyo haina waziri, kaendeleza pia kauli za kuvunja nyumba za watu yaan kauli ya kutolewa na waziri wa ujenzi ameziendeleza Magufuli

Jengo la TANESCO, alipaswa kuyafanya akiwa waziri wa ujenzi kubomolewa au kama sasa ni rais hayo yafanywe na Mbalawa

Pia kuna vikauli vya kuuza tena majengo ya serikali yaan yale yaliyokuwa yanakaliwa na wizara na ofisi mbali mbali za serikali ambapo watahamia Dodoma , nimesikia kwamba yatauzwa , haya inabidi yauzwe na waziri wa ujenzi kama waziri wa ujenzi wa kipindi cha mkapa alivyoyauza


hii inatupa Mahsaka kwamba mfano Mahiga wa Afrika mashariki akiwa Rais atatilia mkazo mambo ya kuungana na afrika mashariki kuwa nchi moja

Au Kigwangala akiwa Rais basi bajeti yote itahamia kwenye utalii na maliasili kwamba watatibiwa simba tu na nguruwe pori tu wakati mwanyamala hakuna madawa,

Au Nchemba akiwa rais basi atakaa kuboresha sare za askari magereza tu na polis bila kujali shughuli nyingine za kitaifa,

Au Mwakyembe akiwa rais itakuwa ni kuwataftia kina Diamond connections kwa Morgan heritage na Rick Ross

POINT NI KWAMBA RAIS AJUE MIPAKA YAKE NA AYATATUE MATATIZO GENERALLY ASIENDELEE KUJIONA NI WAZIRI WA WIZARA FULANI
 
Hahahaaa nimcheka sana, rais anaendelea kusimamia madaraja, mabweni, mitaro kazi ambayo inaweza kusimamiwa na diwani tu kwenye eneo lake.
Nadhani tuwekane sawa naona kuwepo kipindi maalumu cha kuwapa mazoezi ya urais wanaochaguliwa, maana mtu akiwa waziri wa wizara fulani hata akiwa rais anadhani ye bado ni waziri wa sekta hiyo Hata hotuba zake nyingi zitajikita pale, na matatizo anayoshughulika nayo yatakuwa pale pale tu

Mheshimiwa Kikwete alikuwa waziri wa mambo ya nje baada ya kuwa rais alidhani bado ni waziri wa mambo ya nje akaendelea na utaratibu wake wa pipa kila siku, ametembea muda mwingi kuliko rais yeyote kuwahi kutokea yaan safari za pamoja za 2005-2010 za rais kagame ukijumlisha za Mseveni ukaweka za Joseph kabila ukamalizia kidogo za Uhuru kenyata Na Kibaki kwa muda huo ni safari 632 Lakini za kikwete tu zilikuwa 761 hatari sana

Mheshimiwa Magufuli
ye kwakuwa alizoea ziara za kukagua bara bara Katavi, kigoma rusahunga, nyakanazi baada ya kuwa rais alitaka aendelee na ziara hizo za kutumia gari mkwara wa kwanza ulikuwa kwenda Dodoma kwa gari
mbali zaid anaingilia majukumu ya waziri wa ujenzi, yaan Mbalawa kafunikwa kabisa ni kama vile wizara hiyo haina waziri, kaendeleza pia kauli za kuvunja nyumba za watu yaan kauli ya kutolewa na waziri wa ujenzi ameziendeleza Magufuli

Jengo la TANESCO, alipaswa kuyafanya akiwa waziri wa ujenzi kubomolewa au kama sasa ni rais hayo yafanywe na Mbalawa

Pia kuna vikauli vya kuuza tena majengo ya serikali yaan yale yaliyokuwa yanakaliwa na wizara na ofisi mbali mbali za serikali ambapo watahamia Dodoma , nimesikia kwamba yatauzwa , haya inabidi yauzwe na waziri wa ujenzi kama waziri wa ujenzi wa kipindi cha mkapa alivyoyauza


hii inatupa Mahsaka kwamba mfano Mahiga wa Afrika mashariki akiwa Rais atatilia mkazo mambo ya kuungana na afrika mashariki kuwa nchi moja

Au Kigwangala akiwa Rais basi bajeti yote itahamia kwenye utalii na maliasili kwamba watatibiwa simba tu na nguruwe pori tu wakati mwanyamala hakuna madawa,

Au Nchemba akiwa rais basi atakaa kuboresha sare za askari magereza tu na polis bila kujali shughuli nyingine za kitaifa,

Au Mwakyembe akiwa rais itakuwa ni kuwataftia kina Diamond connections kwa Morgan heritage na Rick Ross

POINT NI KWAMBA RAIS AJUE MIPAKA YAKE NA AYATATUE MATATIZO GENERALLY ASIENDELEE KUJIONA NI WAZIRI WA WIZARA FULANI
 
hii inaonesha nchi haina sera madhubuti. Chukulia kwa trump uwe umeingia mpinzani au unejirudia wa chama tawala.. sera zinazo boresha maisha ya mwanchi utazisimamia tu utake usitake
 
Nadhani tuwekane sawa naona kuwepo kipindi maalumu cha kuwapa mazoezi ya urais wanaochaguliwa, maana mtu akiwa waziri wa wizara fulani hata akiwa rais anadhani ye bado ni waziri wa sekta hiyo Hata hotuba zake nyingi zitajikita pale, na matatizo anayoshughulika nayo yatakuwa pale pale tu
...
POINT NI KWAMBA RAIS AJUE MIPAKA YAKE NA AYATATUE MATATIZO GENERALLY ASIENDELEE KUJIONA NI WAZIRI WA WIZARA FULANI

britannica tena, katika kukurupuka na mawazo mgando. Kama hujui kitu ukubali kuwa hujui kama hujui. Ni aibu kutumia JF jamvi lenye heshima kuandika hoja za kitoto. Na kama umetumwa na wenye chuki za kisiasa, waambie wanadi siasa zao zenye tija kwa maendeleo ya watu na nchi kwa ujumla, badala ya mwasho washo wao na siasa majitaka.

Anachokifanya Rais Magufuli na Serikali ya CCM ni kutekeleza Ilani ya Chama ya Uchaguzi 2015, ambayo iliandikwa ikizingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025.

Kwa kifupi Ilani ya CCM ya Uchaguzi 2015 ina mambo makuu yafuatayo:
1) Kupambana na Umaskini kupitia kauli mbiu ya Kilimo Kwanza; upimaji ardhi; kuimarisha huduma za jamii (afya, elimu, maji, umeme, nk); na kurasimisha biashara ya wafanyabiashara wadogo. Matokeo ya miaka miwili yanaonekana.

2) Ajira kwa vijana kupitia ukuzaji na ujenzi wa viwanda vidogo, vya kati na vikubwa vilivyo na uwezo wa kuajiri watu wengi. Miaka miwili ya utawala wa Rais Magufuli hili linaonesha mwelekeo unaotia matumaini makubwa. Walio DSM fikeni viwanja vya Sabasaba mjionee bidhaa zinazolishwa na viwanda vya zamani na vipya.

3) Vita dhidi ya rushwa ambapo tunashuhudia utumbuaji usiojali hali ya mtu kwa kipato au heshima yake katika jamii.

HAPA KAZITU#
 
britannica tena, katika kukurupuka na mawazo mgando. Kama hujui kitu ukubali kuwa hujui kama hujui. Ni aibu kutumia JF jamvi lenye heshima kuandika hoja za kitoto. Na kama umetumwa na wenye chuki za kisiasa, waambie wanadi siasa zao zenye tija kwa maendeleo ya watu na nchi kwa ujumla, badala ya mwasho washo wao na siasa majitaka.

Anachokifanya Rais Magufuli na Serikali ya CCM ni kutekeleza Ilani ya Chama ya Uchaguzi 2015, ambayo iliandikwa ikizingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025.

Kwa kifupi Ilani ya CCM ya Uchaguzi 2015 ina mambo makuu yafuatayo:
1) Kupambana na Umaskini kupitia kauli mbiu ya Kilimo Kwanza; upimaji ardhi; kuimarisha huduma za jamii (afya, elimu, maji, umeme, nk); na kurasimisha biashara ya wafanyabiashara wadogo. Matokeo ya miaka miwili yanaonekana.

2) Ajira kwa vijana kupitia ukuzaji na ujenzi wa viwanda vidogo, vya kati na vikubwa vilivyo na uwezo wa kuajiri watu wengi. Miaka miwili ya utawala wa Rais Magufuli hili linaonesha mwelekeo unaotia matumaini makubwa. Walio DSM fikeni viwanja vya Sabasaba mjionee bidhaa zinazolishwa na viwanda vya zamani na vipya.

3) Vita dhidi ya rushwa ambapo tunashuhudia utumbuaji usiojali hali ya mtu kwa kipato au heshima yake katika jamii.

HAPA KAZITU#
Ajira ipi. Take vijana??
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom