Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Naweka baadhi ya picha baada ya kutoka Zenj, tumeweka kambi Kigamboni sehemu fulani yaitwa South Beach
Hapo tunavuka kuelekea South Beach Kigamboni
Duu jamaa hawa balaa kwenye parking pale South Beach wameweka mkwara huu...sikujali nikaweka Bajaj yangu vile vile!
Tulichukua moja ya room hapo kuendeleza malavidavi na Mzenj, tukichoka twaenda ogelea baharini ama kwenye pool.....South Beach poa sana!
Mandhali inalipa sana duuuuu!
Shida vicheche nao walikuwepo wakiwinda mimi nilikuwa kwenye ulinzi niliishia kula kwa macho....
More to follow.....
Hapo tunavuka kuelekea South Beach Kigamboni
Duu jamaa hawa balaa kwenye parking pale South Beach wameweka mkwara huu...sikujali nikaweka Bajaj yangu vile vile!
Tulichukua moja ya room hapo kuendeleza malavidavi na Mzenj, tukichoka twaenda ogelea baharini ama kwenye pool.....South Beach poa sana!
Mandhali inalipa sana duuuuu!
Shida vicheche nao walikuwepo wakiwinda mimi nilikuwa kwenye ulinzi niliishia kula kwa macho....
More to follow.....